mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Nini kimetokea mpaka Shoprite kishindwa kuendesha biashara zake Tanzania..? Mpaka kufikia kuuzwa kwa Nakumat .. ?
Mbali na hapo wameshindwa kulipa stahiki za wafanyakazi wake wakiwa na deni la zaidi ya million 400. . ,huku mwajiri akidaiwa kutaka kukimbia kurudi South Africa.
KUNANI NINI SHOPRITE.
Mbali na hapo wameshindwa kulipa stahiki za wafanyakazi wake wakiwa na deni la zaidi ya million 400. . ,huku mwajiri akidaiwa kutaka kukimbia kurudi South Africa.
KUNANI NINI SHOPRITE.