SPACED
Senior Member
- Jun 7, 2016
- 137
- 132
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.
Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki.
Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Magufuli na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.
Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.
Swali langu ni kwa nini UKAWA hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki.
Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Magufuli na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.
Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.
Swali langu ni kwa nini UKAWA hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?
Sent using Jamii Forums mobile app