Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Bangi sio sigara Nazjaz.
eti mfalme.... Kweli bongo fleva ni mzika wa majuha
HAPANA MKUU HIYO NDO bange
Eti mfalme.... kweli bongo fleva ni mzika wa MAJUHA
Midadi+bange = kuchojoa
nimegundua kuna wengi wageni kwenye internet....hio picha ni ya long time na ishakuja jf long tiiiiiiiiime kitambo.....sasa wewe waileta leo hi??Jamani hii ni aibu.
Licha ya kuwa tukio hili lilitokea siku nyingi, lakini naamini kabisa ni miongoni mwa mambo yaliyosababisha kuporomoka kwa muziki wa BONGO FLEVA.
huyu aliye mtupu ndio MFALME WA RHYME, je huyo mtu wa kawaida atafanya nini kwenye kadamnasi iwapo mfalme wake anavua nguo hadharani?View attachment 22423