Ni nini hatma ya January na Nape katika siasa za Tanzania?

Kama ndoto eti kwa mara nyingine miamba iliyokuwa ikichipuka kwa kasi kuelekea kwenye kilele cha kufanikiwa kisiasa ipo nje tena kwenye mfumo.Si Wajumbe wa baraza la mawaziri tena.Wametoswa.

Sote tunatambua sababu hasa kilicho wafanya wawe nje ya mfumo.

Kama hali hiyo itaendelea hivyo kwa wao kuendelea kuwa mbali na mfumo ilhali ndoto zao na matamanio yao hayakuwa hayo je ni nini hatma ya wanaume hao waliopata ajali ya kisiasa ya kujitakia?!

Ni kweli Magufuli aliwasamehe kwa dhati?!

Na kama aliwasamehe kwa dhati kwa nini japo mmojawao hakumteua kuwa sehemu ya baraza lake la mawaziri?

NI IPI HATIMA YA HAO?!
Kwani kuwa WABUNGE Haitoshi mpaka wawe na Vyeo Vingine Watulie na Ubunge Wao wahangaike na Wananchi kwenye Majimbo yao KUTATUA matatizo yao
 
Underground fitna zinaendelea kwa tahadhari kubwa sana

Rais anachongewa Kinyago cha 2025 kwa sura ya nje kiwe kile kinachompendeza hadi ahisi ndio chenyewe hasa

Mkapa alifanyiwa hivyo akaja kugundua too late,

Ogopa sana Wanasiasa wanaoigiza Wapole dhaifu dhaifu style za Mzee Mwinyi na Jakaya, huwa Hatare sana kwa mikakati na mbinu

Mwaka 2000 Mzee Mwinyi alishapanga Mwanae awe Rais wa Znz na Mungu akajaalia ikawa

..kweli.

..ila wanachotakiwa kufanya ni kum-support Raisi atakayemfuatia Magufuli.

..wanatakiwa wafanye hivyo toka mwanzo kabisa, sio wawe "ma-johnny come lately."

..Samuel Sitta alirudishwa kundini kwasababu alianza kum-support JK tangu mwaka 1995.
 
Kama ndoto eti kwa mara nyingine miamba iliyokuwa ikichipuka kwa kasi kuelekea kwenye kilele cha kufanikiwa kisiasa ipo nje tena kwenye mfumo.Si Wajumbe wa baraza la mawaziri tena.Wametoswa.

Sote tunatambua sababu hasa kilicho wafanya wawe nje ya mfumo.

Kama hali hiyo itaendelea hivyo kwa wao kuendelea kuwa mbali na mfumo ilhali ndoto zao na matamanio yao hayakuwa hayo je ni nini hatma ya wanaume hao waliopata ajali ya kisiasa ya kujitakia?!

Ni kweli Magufuli aliwasamehe kwa dhati?!

Na kama aliwasamehe kwa dhati kwa nini japo mmojawao hakumteua kuwa sehemu ya baraza lake la mawaziri?

NI IPI HATIMA YA HAO?!
Finally things are settled out, J. Makamba back in the game. As long as unaishi Duniani then just know the game is not over yet, anything can happen. Huwaga ni suala la muda tu. Hatima yao bado hatujaijua but for now one of them kawa Waziri
 
Finally things are settled out, J. Makamba back in the game. As long as unaishi Duniani then just know the game is not over yet, anything can happen. Huwaga ni suala la muda tu. Hatima yao bado hatujaijua but for now one of them kawa Waziri
Hiyo inaitwa the return of undertaker! Mwisho wa hao jamaa kisiasa ni mmoja kuwa Rais mwingine waziri mkuu! Tusubiri 2030!!
 
Back
Top Bottom