Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Ni bei. Wao hata wakiuza million 10, wapo watakaonunua ilimrad waonekne kuwa wanatumia vitu vya ghrma.
Umofia kwenu,
Hizi iPhone zinazoimbwa na kusujudikiwa kwanzia huku mtaani mpaka mitandaoni zina uspesho gani hasa wa kipekee? Mwezi wa tatu sasa huu natumia iPhone 7 sijaona upekee wowote, sana sana naimisi Samsung yangu ambayo nilikuwa naitumia hapo kabla.
Labda wakuu, uspecial wa iPhone ni nini haswa?