Ni nini hasa uspesho wa iPhone?

Ni nini hasa uspesho wa iPhone?

Wewe ulipoanza kutumia iPhone kwanza ulitegemea kitu gani ambacho umekikosa?

Huenda ulinunua Iphone kama Pembejeo ya kung’olea Mtoto mkali halafu akakutosa hapo hakuna Application wala chochote kitakachokuvutia kwny Iphone

Sisi Team IPhone huwa tunasema Iphone na simu zingine yaan sijui Samsung, sijui techno, sijui Sony sijui huawei zote tumeziweka kundi moja dhidi ya IPhone
 
Mzee unatembea na milioni nne na ushee i phone x na note 9 pamoja umetisha
bosi acha iphone kama madini. natumia iphone x mass na samsung note 9 ukiweka iphone sikioni watu wanashituka hataka kama mtu anakudai bora usipokee mbele yake,bora upokee samsung hatajua copy
 
Niko na dunduliza visenti mwezi wa saba nijipatie kiapple na mm
Tuache masihara brand ya mUsa huwez kulinganisha na hiz brand za hovyo hovyo
 
Usicheze na apple lililo ng'atwa kuna akili sana ni uwezo tu sina huwezi linganisha na vi Samsung hata iwe noti 12,sijui vi Tecno,itel sijui ifinix
 
Apple labda ninunuliwe, kanateleza sana saa yeyote kanapotea.afu havivutii😝😂

BTW siwezi jinunulia simu zaidi ya laki tatu😀. labda nipewe zawadi.😀napenda😁😁

Da kuna Samsung j7 nilipoteza iliniuma sana nililia kweli😁
 
Umofia kwenu,

Hizi iPhone zinazoimbwa na kusujudikiwa kwanzia huku mtaani mpaka mitandaoni zina uspesho gani hasa wa kipekee? Mwezi wa tatu sasa huu natumia iPhone 7 sijaona upekee wowote, sana sana naimisi Samsung yangu ambayo nilikuwa naitumia hapo kabla.

Labda wakuu, uspecial wa iPhone ni nini haswa?
Hakuna umaalumu wowote hapo.

Nami nilivutiwa na sifa zilizopotiliza zinazopewa hiyo aina ya simu.

Nilipoinunua nikawa na over expectation hadi nilipoiona haifai na kuihonga.

Ilikuwa nikiiweka kwenye chaji inafunguka automatic, inakuwa wazi.

Niliporudi dukani kuulizia dosari hiyo, nikajulishwa kuwa huo ni mfumo wake!

Haya, kwenye network napo, hakuna jipya ni vilevile kama Chinese phones, tena samsung wapo juu zaidi.
 
Uspecial wa I phone ni kama ufuatao:-
1. Unaweza kuwa unatumia I phone ya Zamani (Zaidi ya miaka mitano ilopita) kwa OS latest tofauti na Android Phones ambazo kila siku OS inabadilishwa hivyo kufanya simu zinakuwa za kizamani ndani ya kipindi kifupi
2. Uimara na ubora wa simu kama kifaa, huwezi fananisha I phone na Samsung ya aina yoyote ile linapokukwa suala la ubora wa simu kama kifaa
3. I phone ipo kwenye closed eco system hivyo ni ideal kwa watumiaji wasiopenda michanganyiko ya kimatumizi mfano kwenye I phones hakuna sijui mambo ya GB whatsapp sijui app za ajabuajabu na uchafu wake. Kila kitu kimepangiliwa.
4. I phone ni simu ngumu kudukua tofauti na simu za android. Ndio maana I phone hata ukiina ikawa locked sanasana utaishia kuitumia kama spare parts na sio kama simu tena!
5. I phone ni simu ya watu ambao wako organized na mambo yao sio simu ya kuchezeachea, kama wewe ninwale watu ambao kila saa jicho liko kwenye simu kwa mambo ya kipuuzi basi I phone haikufai. I phone sito simu ya kushinda unachat na kuperuzi Instagram na facebook licha ya kwamba inauwezo wa kuaccess huduma hizo.
6. I phone ni Special sababu haifanani na simu nyingine nyingi kama zinavyofanana.

Ni ngumu sana kuielewa I phone kama uliinunua kwa fashion tu au just kutaka kufit in!
Wewe huna akili
Trump anapambana na Huawei mambo magumu kwa I phone

I phone bado sana, Nunua huawei P series au Nova series Halafu utajua kwanini marekani anahangaika na Huawei

Mambo magumu kwa i phone bwana mkubwa technologia imemtupa mkono
 
Wewe ulipoanza kutumia iPhone kwanza ulitegemea kitu gani ambacho umekikosa?

Huenda ulinunua Iphone kama Pembejeo ya kung’olea Mtoto mkali halafu akakutosa hapo hakuna Application wala chochote kitakachokuvutia kwny Iphone

Sisi Team IPhone huwa tunasema Iphone na simu zingine yaan sijui Samsung, sijui techno, sijui Sony sijui huawei zote tumeziweka kundi moja dhidi ya IPhone
Soma taarifa ya marekani utalewa vita ya biashara inayoendelea
Huwezi fananisha simu za Huawei na I phone kwa sasa

I phone mambo ni magumu yanaweza mkuta ya Nokia, Teknoloji mnamtupa mkono sasa

Mauzo ya I phone ndio yanajifia, 5g technology na Foldable phone marekani anaumia sana, Mwingereza Yeye 5g hana shida, Marekani mambo hoi

Kwaheri i phone tulikupenda kama Nokia enzi hizo
 
Umofia kwenu,

Hizi iPhone zinazoimbwa na kusujudikiwa kwanzia huku mtaani mpaka mitandaoni zina uspesho gani hasa wa kipekee? Mwezi wa tatu sasa huu natumia iPhone 7 sijaona upekee wowote, sana sana naimisi Samsung yangu ambayo nilikuwa naitumia hapo kabla.

Labda wakuu, uspecial wa iPhone ni nini haswa?
wewe huna Iphone unaleta shobo tu
 
Wewe huna akili
Trump anapambana na Huawei mambo magumu kwa I phone

I phone bado sana, Nunua huawei P series au Nova series Halafu utajua kwanini marekani anahangaika na Huawei

Mambo magumu kwa i phone bwana mkubwa technologia imemtupa mkono
Wewe ndio huna akili na hakuna unalolijua kuhusu I phone! Tatizo la marekani na Huawei halina muingiliano na mambo ya I phone na uspecial wake tunaojadili hapa. Go back and learn!
 
Msisahau tayari Huawei ameshatangaza OS yake mpya inayoitwa HongMeng na Huawei AppGallary itakayokuwa mbadala wa Play store
Kuanzia June wanaiachia rasmi

Tusubiri tuone
 
Back
Top Bottom