Wewe ulipoanza kutumia iPhone kwanza ulitegemea kitu gani ambacho umekikosa?
Huenda ulinunua Iphone kama Pembejeo ya kung’olea Mtoto mkali halafu akakutosa hapo hakuna Application wala chochote kitakachokuvutia kwny Iphone
Sisi Team IPhone huwa tunasema Iphone na simu zingine yaan sijui Samsung, sijui techno, sijui Sony sijui huawei zote tumeziweka kundi moja dhidi ya IPhone
Huenda ulinunua Iphone kama Pembejeo ya kung’olea Mtoto mkali halafu akakutosa hapo hakuna Application wala chochote kitakachokuvutia kwny Iphone
Sisi Team IPhone huwa tunasema Iphone na simu zingine yaan sijui Samsung, sijui techno, sijui Sony sijui huawei zote tumeziweka kundi moja dhidi ya IPhone