The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,058
Baada ya kupitia comment zote, nilichokiona wengi tunanunua matoleo ya simu kwa kufuata mkumbo tu. Wengi wetu matumizi yetu yanahitaji simu isiyozidi 100k, iwe na uwezo wa kupiga na kupokea, kutuma sms, kupiga picha, internet na isikose radio na calculator.
Kiduku Lilo atakuja kuwapa tofauti ya chombo cha mawasiliano na simu.
Kiduku Lilo atakuja kuwapa tofauti ya chombo cha mawasiliano na simu.
