Ni ngumu kutuelewa

Hatutawaelewa kwa sababu:

1. Mliumbwa wakati sisi wanaume tupo usingizini. (Adamu alilala halafu akatolewa ubavu uliomtengeneza mwanamke).

2. Ninyi wenyewe hamuelewani. Kwa hiyo sasa sisi ni akina nani hata tuwalewe?

3. Sisi tunatumia logic kuwaza, ila ninyi mnatumia hisia zaidi na mihemko
 

Umeongea kihisia zaidi ila ukweli ni kwamba hata wenyewe hatujielewi ndo logic ilivyo
 
Umeongea kihisia zaidi ila ukweli ni kwamba hata wenyewe hatujielewi ndo logic ilivyo

Asante kwa kuomgeza point niliyoisahau.

Yaani hamjielewi na ndiyo maana hata hamuelewani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…