Huyu anasoma pharmacy ila nilifahamiana nae kitambo tangu form 3 uko. Si unajua pharmacy na MD ni rahisi kuonana haraka, mimi sisomi afya.Vidada vinavyosoma MD vinajiona kama dunia hii ni yao peke yao
Ni wale wale tu mkuu,nlikuwa na wangu,yaan n pretender mzur ila mzigo alikuwa anatoa fresh,ila makundi yake huko chuon naona yamemjaza ujinga at tne end ananambia kuwa amecheat na hana aman moyon better nitafute mwngine,aysee nliumia kiasi cz ilikuwa suprise...bt now nipo oky ila nkimfikiria huwa siwaamin kabxa hawa viumbeHuyu anasoma pharmacy ila nilifahamiana nae kitambo tangu form 3 uko. Si unajua pharmacy na MD ni rahisi kuonana haraka, mimi sisomi afya.
Tumekuwa tunafahamiana mpaka mwaka huu nilipokata mawasiliano nae kwa vile hayakuwa na faida kwangu, it was one way traffick
Siwezi komaa nae nilimshindwa haraka. Pamoja na uzuri wake ila alikuwa tofauti na mapenzi ninavyoyajua, anakuwa romantic nikimpa hela, ni vigumu sana kumnunua mtu ambaye nimemuweka moyoni. Angekuwa chick ningeishi nae hivo ila sio huyu kipenzi cha roho yangu.Usiwaze komaa naye atamsahau akikuzoea, hizo mbwembwe za short run
I agree mkuu. Healing huleta uelewa wa nini unataka na ukaweza kujidefine kwenye mahusiano. Healing hupevua mioyo, fikra, akili za mtu hivyo hupelekea kuwa na mahusiano bora yatakayokuja.Take time to heal after every relationship. It helps alot.
Ewaaaaah hili ndo lenyewe sasa.Ukiyavaa mapenzi na moyo mlaini yatakupeleka mputa, mapenzi yanataka kujilipua....ingia penda, tena penda kwelikweli akikuzingua unaondoka chukua mwingine mpende kama haujawahi kupenda.
Yani huwa nikiona mwanaume anaandika X badala ya S kwenye sentensi nachefukwa sanaNi wale wale tu mkuu,nlikuwa na wangu,yaan n pretender mzur ila mzigo alikuwa anatoa fresh,ila makundi yake huko chuon naona yamemjaza ujinga at tne end ananambia kuwa amecheat na hana aman moyon better nitafute mwngine,aysee nliumia kiasi cz ilikuwa suprise...bt now nipo oky ila nkimfikiria huwa siwaamin kabxa hawa viumbe
....waliokuumiza ni wengine...! Je kama aliyekuumiza ndiye huyo!Ndugu zangu!
Tujilazimishe tu kusamehe na kuachilia. Sio kitu rahisi, lakini faida zake ni kwa maslahi ya kesho yako. Kwenye mapenzi unakutana na mtu ambaye humjui, unajifariji eti utamfahamu kupitia
Ncha Kali.
....waliokuumiza ni wengine...! Je kama aliyekuumiza ndiye huyo!
Kweli binadamu tumetofautiana pakubwa.
Mwingine anafurahia mapenzi toka kwa aliyemuumiza kabla hajasemehe, tena kwa kuenjoy mara dufu!
Haujasikia mtu kashika ugoni kisha kitu kikasoma na akaharibu mbele ya vimuli muli vya makamera ya video?
Pole mkuu,tuvumilie tu,hatuwez fanaanYani huwa nikiona mwanaume anaandika X badala ya S kwenye sentensi nachefukwa sana