Katibu Mkuu wa CCM Dkt Asha - Rose Migiro azungumza na waandishi wa Habari - Agosti 26, 2026

Katibu Mkuu wa CCM Dkt Asha - Rose Migiro azungumza na waandishi wa Habari - Agosti 26, 2026

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,957
Reaction score
6,693
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imemfutia uanachama wa Chama hicho leo Agosti 26, 2026 aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmannuel Nchimbi ambaye alitangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kustaafu siasa jana Agosti, 25, 2026.

=============
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemteua Deogratius Ndejembi kushika nafasi ya Makamu wa Rais, nafasi ambayo ilibaki wazi baada ya aliyekuwepo, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kutangaza kujiuzulu 25, Agosti 2026.

Tuseme watamtangaza alichukua nafasi ya Nchimbi.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Asha - Rose Migiro atazungumza na waandishi wa habari leo.

Muda, Tarehe na Eneo:

  • Tarehe: 26 Agosti 2026
  • Muda: Saa 3:30 Usiku
  • Mahali: Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM - Lumumba

FB_IMG_1787766636971.jpg


 
Kikao cha Kamati Kuu CCM kimeisha salama kilijadili suala la VAISI Barua ya KUJIUZULU imesomwa na iMEKUBALIWA. Yamependekezwa majina 2 ya watu wazima (65+) mmoja atakua Mrithi wake inasubiriwa NEC.

NB : Hatoki kundi la Wabunge wala Baraza la Mawaziri
 
Back
Top Bottom