Ni nani Valentino Mlowola?

Ni nani Valentino Mlowola?

KWA SurA HuYO WA KULIA MENGINE MSUBIRI ALIEMTEUA..
attachment.php
 
Kaka hicho cheo cha naibu mkurugenzi amekipata hata mwezi haujaisha.alikua Rpc wa Mwanza akateuliwa ktk nafasi hiyo jamaa ni jembe na nimchapakazi kwelikweli
Asante kwa ufafanuazi kaka, nimeelewa.
 
Just another Tanzanian trying to do his best for his country. I said na bado naamini..uongozi wa juu ukiwa thabiti. Mengine yatafanikiwa tuu. Maana watu ni wale wale. But if the top man/woman is lazy and corrupt expect the same from his/her team.

I can bet my last shilling leo hata Chenge ukimpa nafasi ya uwaziri hataiba hata senti tano! Maana He knows his boss Magufuli is supper clean!
Aise ni kweli kuna anko yangu alikua ni moto wa kuotea mbali kwenye mambo ya msingi pamoja na shule,yaani hata unaumwa utaenda shule tu labda mwalimu ndo akatae,manufaa yake watoto wa kwanza wote walisoma shule na kumaliza hadi chuo kikuu.Bahati mbaya mola alimchukua,baada ya uongozi thabiti kutoweka,mitoto ya mwisho iligoma shule na ikawa michuro tu......
 
Huiyojamaa.n.jembe.mcharuko ujinga ataki akinyosha vdole.ni apindishi alichosema.kafunga hadi.ndugu wajinga wajinga huyu tunamtaka aanze.letaheshima takukuru. Ilikuwa kama club ya pombe..
 
yale yale, alifanya nini kwa nafasi yake ya usaidizi kumsaidia mkurugunzi mkuu? Rais angeteua mtu toka nje kabisa ya hiyo taasisi

Kama swali hujasikia vizuri, usikimbilie kujibu. Tangu apewe unaibu na JPM hajamaliza hata mwezi, sasa yale yale yapi! negative attitudes hizo
 
Awamu hii ni zamu ya watu waadilifu na wachapa kazi hapa kazi tu.
 
Uteuzi Makini!Nimeamini Magufuli anajua kutafuta watu makini!
 
Simfahamu sana..
Ila najua ni Polisi mbobezi katika masuala ya Intelligency/Ukachero pia naTerrorism/Ugaidi.
United Nations hapo siku za nyuma wamekuwa wakimtumia sana katika hayo maeneo.
Ni Mwanasheria kitaaluma.

Umepatia amefanya kazi Scotland Yard kama kachero wa cybercrime. Huyu ni shida.
 
Simfahamu sana..
Ila najua ni Polisi mbobezi katika masuala ya Intelligency/Ukachero pia naTerrorism/Ugaidi.
United Nations hapo siku za nyuma wamekuwa wakimtumia sana katika hayo maeneo.
Ni Mwanasheria kitaaluma.

Hivi aliwahi kuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza?
 
alipewa unaibu na magufuli kutokea polisi tulitabiri tokea pale

Tangazo la kuteuliwa unaibu wa pccb lililetwa humu JF na lilionyesha bayana kuwa Mlowoka aliteuliwa enzi ya mkwere ila mimi nilishangaa kwa nini haikutangazwa mapema mpaka Pombe alipoingia madarakani!?
 
Binafsi namkubali sana rais wangu JPM kwakuwa katuchagulia huyu mh.Mlowola lazima atakuwa moja wa watu anaoendana nae kikazi hilo toeni shaka watanzania.
 
yale yale, alifanya nini kwa nafasi yake ya usaidizi kumsaidia mkurugunzi mkuu? Rais angeteua mtu toka nje kabisa ya hiyo taasisi

Hata mwezi mmoja hajafikisha kwenye huo u-naibu angemsaidiaje. Tusubiri afanye kazi ndipo tumpime.
 
Aliwahi kufanya kazi maeneo haya;
1. Idara ya utambulisho ya jeshi la polisi
2. Kitengo cha dossier
3. Interpol
4. Intelligence
5. Mkuu wa National Anti- terrorism center
6. RPC Mwanza
7. Kamisheni ya intelligence

Katika Jeshi la Polisi yeye ni mmoja ya maafisa ambao ni 'over trained' ndani na nje ya Tanzania. Ni mwanasheria na mwenye misimamo isiyoyumba. Anajiamini. Wamarekani wanamuamini sana kwenye eneo la ugaidi kwa sababu naweza kusema ni product yao na wamewekeza sana kwake in terms of training
 
Back
Top Bottom