Tatizo wengine mnaoandika 'nyuzi' za JF ni kizazi cha 'MIGI'!Kazi yenu kubwa ni kushadadia Elimu za Watu na Kuwasifu wenye GPA Kubwa wakati zenu za Kichina!Mnajidai mnajua majambo lakini hamjui,na hamjui kama mhajui!MKWECHE Nafunguka!
Chuo cha NBC ni kile chuo ambacho enzi zetu(za mwalimu) kiliitwa chuo cha benki(amon nsekela) kipo hapa Iringa na kwa sasa ndio Ruaha Unuversity aka RUCO
Huyu Mzee Ni JEMBE na Amebobea katika Fani ya Benki na fedha.Si kwa kusomea tu bali kazeekea kwenye Kazi maswala hayo.Taaluma ya Fedha kazama nayo Darasani kusoma,kuifundisha na Kufanyakazi!Orodha ya machapisho aliyochapisha mzee Mgimwa mwanataaluma Legelege au wa MIGI hawazi kuandika! namfahamu Dr Mgimwa,ni Mbunge wangu wa Jimbo la Kalenga na PhD alipata mwaka 2000 ni ya Kwenda shule na alifanya by Thesis!
Mie Mkweche nilipokuwa nasoma Uzamili pale Mu,niliwahi kusoma hata Andiko lake la MBA lilikuwa ni Kali!Mzee Kaiva,msiomfahamu acheni Mzengwe!
Kisiasa hajawahi shika nafasi kubwa ila katika maswala ya fedha ndio JEMBE!Kastaafu kazi BOT,akiwa Principal wa Bot Institute pale Kapripoint Mwanza!
Wasiwasi wa Mkweche ni Mmoja kwake!Uzoefu unaonyesha wasomi wengi siasa zinawashinda kwani hawana ujanja wa kuchanganya siasa na taluuma!Mh Kastaafu utumishi wa Umma 2010 na kuingia mjengoni!Kazi anayo
mwa mkwechw
..Ni nini ambacho aliwaahidi wananchi wa Kalenga wakati anaomba kura na amekitekeleza katika kuwaondolea umasikini na kuwainua kiuchumi?
Amon Nsekela Bank accademy sasa ni Ruco kipo iringa mjini. suala la Dr Mgimwa anaweza au hawezi tusubiri tutajua kwani mkulo alipoingia ilikuwaje? cha msingi tu mzee asiwasikilize akina Lukuvi watamwendesha sana
Muacheni Dr Mgimwa afanye kazi, mpeni nafasi.Hii negativity haitatufikisha popote.
Inaonyesha ni jinsi gani uelewa wako wa mambo ya taaluma ulivo mdogo.Haya uliyoyaandika umetumia data zipi ...Kwa taarifa yako watu wengi waliamini Ud ndio kilikuwa chuo bora kwa upande wa sheria...lakini hata kukiweka kati ya vyuo vinavyotoa wanasheria bora tanzania nimekipendelea...fuatilia matokeo ya chuo cha sheria (shool of law) uone jinsi gani ni wanafunzi wa chuo kipi wanafaulu...turudi kwa IFM IAA na MZUMBE...mimi mwenyewe nimekuwa kwenye majopo ya interview, nime supervise wanafunzi wengi tu wa field na nimefanya kazi katika uwanda waUhasibu na usimamizi wa fedha..hakuna product mbovu kama zinazotolewa na UD na UDOM pamoja na wengi wao kuwa na GPA za maana...na hakuna wanafunzi wazuri kama wa IAA na Mzumbe pamoja na IFM, ingawa IFM nao sio wazuri kiivyo..naomba ujue UD sasa hivi kinasimamiwa na jina tu fanya utafiti na sio ushabiki...nway nilikuwa nakueleza tu lakini jua kuwa mjadala ulikuwa wa waziri mpya wa fedha sio vyuo vikuuu!
Mkuu naamini hatafanya kazi peke yake. Nchi hii ina waataalamu wengi na wazuri watasaidiana ktk kujenga uchumi wetu. Naamini ktk dhana nzima ya uwajibikaji bila kusahau TEAM WORK. Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu ndg zangu.Hahaa..!! Elimu yake ni ndogo sana Mkuu..!! Hapo tuombe mungu uzoefu wake wa vijikazi vyake alivyofanya Tanzania ndio utasaidia. Vinginevyo hana lolote la kuiingiza Tanzania katika mchaka mchaka wa kimbizo la kiuchumi duniani. Elimu tunazosomea Tanzania ni kwa ajili ya shughuli za mimi na wewe na si kwa muunganiko wa kidunia ambao kwa wizara nyeti kama ya Fedha inahitaji ukamili. Endelea kuota tu..!!
Mkuu naamini hatafanya kazi peke yake. Nchi hii ina waataalamu wengi na wazuri watasaidiana ktk kujenga uchumi wetu. Naamini ktk dhana nzima ya uwajibikaji bila kusahau TEAM WORK. Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu ndg zangu.
Ww umetumia data zipi kuandika haya? Kwa tafsiri yako inabidi wanafunzi wanaopata zero and div. 4 ndio wapewe kipaumbele kuingia vyuoni halafu tuwaache na wenye div. I na II, au sio?NB: siku zote jua kufanya vizuri form six sio kufanya vizuri chuoni, na kwa taarifa yako wanfunzi wengi wazuri huwa hawafanyi vizuri formsix kwa sababu system iliyopo haiwafevi!
Wakuu wanaoijua Mzumbe watufahamishe kama mwaka 1991 tayari ilikuwa inatoa masters degreee tena za MBA. Pili huyu Waziri Mteule anatumia initial ya Dr lakini kwenye CV aliyoiweka kwenye tovuti ya bunge haionyeshi kama ana P.hD ya kusomea. Ana udokta wa aina nini? Haya mambo watu wengine wanayachukulia juu juu lakini kwenye nchi za watu is a serious matter.
Watu wanaweza kudai tuna attack his personally au elimu sio kigezo cha kuwa kiongozi bora lakini nafikiri kuna umuhimu wa kujua elimu za viongozi wetu wa ngazi za juu kama ni za ukweli au ni za kuchakachua. Elimu sio kigezo pekee cha uongozi lakini watu wasidanganye ili kupata uongozi.
Inawezekama labda amepata P.hD yake baada ya kuweka CV yake kwenye tovuti ya bunge lakini ni bora aka-upadate CV yake kama ni hivyo. Hatutaki kuwa na waziri mwingine wa fedha ambaye elimu yake ni ya mashaka.
..Ameteuliwa kuongoza Wizara ya Fedha leo, mnaomfahamu CV yake, utendaji wake na kuhusu uadilifu wake, wekeni hapa
Njaa ina matatizo makubwa sana hivi mimi nashindwa kuelewa ni kitu gani hasa mpaka Kikwete achukiwe hivi? Mmetaka avunje Baraza La Mawaziri kavunja ametulia na kulipanga upya kila mtu analaumu tu hivi nyie watu wa Chadema mnao watu wanaofaa kuwa Mawaziri? Sugu ama Vincent Nyerere ama Mchungaji Msigwa ama aliekuwa Mbunge wa Arusha Mjini wanafaa kwa Wizara gani? Mbona hao ndo CV zao hazieleweki kabisa? Tuache mambo ya ushabiki ambao hauna msingi Mawaziri wameteuliwa tuwaache wafanye kazi karibu Mawaziri wote waliokuwa wanalalamikiwa wametoswa na wengine waliobaki wamebadirishiwa Wizara Raisi kwa kiwango kikubwa amejitahidi ila nyie watu wa Chadema sifa yenu kubwa ni kulaumu tu hata kama kilichofanyika kiko sahihi!
Hivi kumbe kuna chuo cha NBC...(The National Bank of Commerce (NBC) - College). Kiko WAPI?
Ndugu MKWECHE ,
Sisi tunajadili CV yake ambayo kaiandika mwenyewe na kuiweka kwenye public domain. Wewe unajadili nini?
Halafu unapojaribu kutushuka kitalaama na ki-uzoefu, unatumia kigezo gani? Au unataka tukuwekee CV zetu ndiyo ukubali kwamba tuna haki ya kujadili CV ya mwalimu wako?
Narudi Hiyo CV ya Kwenye Tovuti ya Bunge ina Matatizo za Kiuandishi!Ndugu MKWECHE ,
Sisi tunajadili CV yake ambayo kaiandika mwenyewe na kuiweka kwenye public domain. Wewe unajadili nini?
Halafu unapojaribu kutushuka kitalaama na ki-uzoefu, unatumia kigezo gani? Au unataka tukuwekee CV zetu ndiyo ukubali kwamba tuna haki ya kujadili CV ya mwalimu wako?