whatever the case, ccm lazima tuwashinikize wawajibishane katika maovu waliyofanya kabla hata ya 2015, watu wakamatwe wafunguliwe mashtaka, mali zao zitaifishwe pesa zirudishwe, ...Pinda akiondoka wataweka pozi na kujidai wamefanya jambo kubwa kujisahihisha huku wakiendelea na ulaji tena kwa mtindo wa chukua chako mapema.
Hii nchi ilivyo kwa sasa hata wakipewa cdm watakuwa na kazi nzito saaana, maana kila kona imejaa uvundo na uozo. cdm ikiingia madarakani inatakiwa ku anza kujenga nchi sio kupoteza muda kwa kusafisha uchafu wa ccm, ccm please clean your own mess ili wengine watakapoingia wafanye kazi yao kwa urahisi zaidi.