MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,054
- Thread starter
- #121
Prof. Lipumba ameishaainisha katika thread hii,"Uchaguzi wa Mwaka Jana , CCM tulishindana Wenyewe kwa Wenyewe , Kwa Maana Upinzani umekufa na tukabaki wenyewe tu , Waliokuwa Upande wa Pili woote Wazawa wa CCM "
Mbunge Msukuma
Star TV LIVE
Wakati akiongea kupitia AzamTwo Television, Prof. Lipumba amesikika akisema, CHADEMA kimepoteza dira ya kisiasa kutokana na mtafaruku uliojitokeza ndani ya UKAWA baada ya kumpokea Lowassa na kumfanya mgombea Urais wa Tanzania.
Prof. Lipumba amesema, ''Sisi ndani ya CUF tunaweza kukijenga vizuri chama chetu kwa sababu msingi wetu ni kusimamia haki kwa wote lakini wenzetu wa CHADEMA wamepoteza dira kwa sababu itakuwa ni vigumu kuzungumzia suala la mapambano dhidi ya ufisadi''.