Ni nani alitaka kumuua Mzee Mangula? Kwanini?

Ni nani alitaka kumuua Mzee Mangula? Kwanini?

Wakati mwingine public panic inaepukwa hata katika mapinduzi ya kijeshi, mauaji ya viongozi, vifo vya kawaida vya viongozi lakini Polisi wa Tanzania hawajui kabisa kuepuka public panic. Ndio maana Mimi naonaga tubadilishe kabisa qualifications za kujiunga na jeshi la Polisi.
 
Kama kuna kitu kina makengeza mengi ni hili la mzee wetu Mangula aliyepata ugonjwa wa ghafla akiwa kwenye majukumu yake na kukimbizwa hospital ya Taifa Muhimbili.

Wananchi hatukujua kabla kama kuna la ziada nyuma ya pazia kuhusiana na huu ugonjwa mpaka police walipotoa ripoti matokeo ya uchunguzi wa vipimo vya mzee Mangula kwamba vipimo majibu yanaonesha alilishwa sumu kwenye chakula

Mkanganyiko ni hapa police wanapotoa hii taarifa mara tu baada ya majibu kutoka. Maswali yamekuwa mengi na wengi wanaona kama utaratibu umekiukwa ama huu ni utaratibu mpya

Kumbe kulikuwa tayari na hofu ya mchezo mchafu kwenye huo ugonjwa? Kwahiyo sample Hazikwenda kwa madaktari wa kawaida bali kwa mkemia mkuu na majibu wakapewa police na si daktari wake?

Ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake mpaka pale atakaporuhusu vinginevyo.. Je kwenye hili Mzee Mangula karidhia litangazwe hadharani? Na vipi kuhusu daktari wake.

Je, kuna kesi yoyote imeshafunguliwa mahakamani na mlalamikaji ni nani!? Washukiwa ni nani?

Polisi imeshachimba bit kuwa itawatafuta wahusika 'walioweka sumu ' kwenye chakula, nje na ndani ya chama, nje na ndani ya nchi? Mbona kama ni mkwara wa haraka mno?

Kama sumu husika ilimpataa kupitia chakula
Je, ni nani siku hiyo alipewa tenda ya chakula?
Je, ni nani siku hiyo alimsavia mzee Mangula chakula?
Je, ni sumu ya aina gani mzee Mangula aliwekewa?

Hivi kwani haiwezekani ikawa pengine ni nzi wa kijani yule wa chooni ilitokea akapita kwenye chakula cha mzee Mangula na kuacha uchafu wake hapo uliomuathiri mzee?

Kuna mkanganyiko mkubwa sana kwenye hili kama sio propaganda kwakuwa taarifa ya police inazua maswali mengi kuliko majibu.

Hebu tuchukulie katika hali ya kawaida kabisa kwamba mzee Mangula alikuwa na maadui na wakaona njia bora ya kummaliza nia kupitia sumu kwenye chakula na sio njia nyingine yoyote.

Je, ni uaduli juu ya nini? Ama kama ni chuki ni juu ya nini?
Je, ni kisasi?
Je, ni roho mbaya?
Je, mzee anajua nini ambacho wahusika/mhusika hawakutaka aendelee kukijua?
Je, Mzee hajui nini ambacho wahusika/ mhusika hawakutaka akijue?
Je, kwa kutumia sumu kwenye chakula mhusika/wahusika hawakuona hatari ya kujulikana haraka kama
mzee Mangula angeathiriwa na sumu kiasi cha kupoteza uhai na hatimaye mwili wake kufanyiwa post mortem?

Kwa kumbukumbu za nyuma Kolimba na Chachange wote marehemu hawa. Inasemwa walimalizwa kupitia sumu kwenye chakula maji... Kwanini huyu kitumike chakula?

Kuna risk kubwa kwenye kutumia chakula kama silaha ya sumu kwakuwa inahusisha watu wengi na mmoja anaweza kuharibikiwa biashara yake hasa kama chakula husika kililishwa kwa tenda..

Tunachezwa shere hapa na polisi ndio wanatuchanganya zaidi kuhusiana na hili lakini pia kuna wale vijana waliokuwa wanatabiri kuhusu kutokea tukio kunwaa je ni hili lililofeli ama kuna lingine?

Jr[emoji769]
Wewe ndio unatuchezea shere kwa kutuletea nadharia za Ufipa
 
This one is deliberately done...!!!
Wakati mwingine public panic inaepukwa hata katika mapinduzi ya kijeshi, mauaji ya viongozi, vifo vya kawaida vya viongozi lakini Polisi wa Tanzania hawajui kabisa kuepuka public panic. Ndio maana Mimi naonaga tubadilishe kabisa qualifications za kujiunga na jeshi la Polisi.

Jr[emoji769]
 
Sumu kwenye mwili wa binadamu inaweza ikaingia kwa njia nyingi kula,kuvuta, kupenyezewa kwenye ngozi na njia nyingine nyingi.... Sasa kwa sababu bado serikali haijatangaza ni namna gani Mzee Mangula alipatiwa iyo sumu na kwa mazingira gani basi tuendelee kusubiri na sio kusema Nzi wa Kijani
 
Kaka ni swala la kumshkur mungu tu muda wake ulikuwa bado, ingekuwa ni suala la perfect timming wengi walifanya hivyo lakini kwa kuwa muda kadiriwa na muumba ulishakwisha haikusaidia, kama ni pesa doh! kuna watu wanazo kupita maelezo lakini muda kadiriwa na muumba ulipotimu wanasepa bila hata ya kuaga.
Tumshkur mungu kila uchao na tumwombee mzee mangula muumba amrejeshee afya yake aendelee kutumia airtime yake ilobakia hapa duniani.
Only Mwakyembe ndio alipata shambulio la kweli la sumu na ilimpataa barabara... Ikamparua nywele na kuzeesha ngozi yake akawa kama mgonjwa wa ukoma... Pesa, perfect timing na bahati ndio viliokoa maisjaa yake

Jr[emoji769]
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Kaka ni swala la kumshkur mungu tu muda wake ulikuwa bado, ingekuwa ni suala la perfect timming wengi walifanya hivyo lakini kwa kuwa muda kadiriwa na muumba ulishakwisha haikusaidia, kama ni pesa doh! kuna watu wanazo kupita maelezo lakini muda kadiriwa na muumba ulipotimu wanasepa bila hata ya kuaga.
Tumshkur mungu kila uchao na tumwombee mzee mangula muumba amrejeshee afya yake aendelee kutumia airtime yake ilobakia hapa duniani.

Jr[emoji769]
 
Mi nafikiri, hii ni bongo muvi nyingine tunaoneshwa,
Alitekwa Mo, tukapewa Story nyiiiingi, mara ametekwa na wasouth Africa! Mwishowe aliyefunguliwa mashitaka ni mswahili mmoja, ambaye anaonekana Kama chizi hivi, kesi ikaisha, wenye akili zetu, tukajua hapa kuna ujumbe Mo na umoja wa matajiri ulikuwa unafikishiwa kwamba wapangaji wetu wapya wa magogoni, wanaweza kufanya chochote,
Sasa Hili la Mangula, kuna mtu anatakiwa atwishwe kesi ya jaribio la kuua ili akaozee jera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mangula ameondolewa Muhimbili kimya kimya why? - JamiiForums
Mi nafikiri, hii ni bongo muvi nyingine tunaoneshwa,
Alitekwa Mo, tukapewa Story nyiiiingi, mara ametekwa na wasouth Africa! Mwishowe aliyefunguliwa mashitaka ni mswahili mmoja, ambaye anaonekana Kama chizi hivi, kesi ikaisha, wenye akili zetu, tukajua hapa kuna ujumbe Mo na umoja wa matajiri ulikuwa unafikishiwa kwamba wapangaji wetu wapya wa magogoni, wanaweza kufanya chochote,
Sasa Hili la Mangula, kuna mtu anatakiwa atwishwe kesi ya jaribio la kuua ili akaozee jera

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Kama kuna kitu kina makengeza mengi ni hili la mzee wetu Mangula aliyepata ugonjwa wa ghafla akiwa kwenye majukumu yake na kukimbizwa hospital ya Taifa Muhimbili.

Wananchi hatukujua kabla kama kuna la ziada nyuma ya pazia kuhusiana na huu ugonjwa mpaka police walipotoa ripoti matokeo ya uchunguzi wa vipimo vya mzee Mangula kwamba vipimo majibu yanaonesha alilishwa sumu kwenye chakula

Mkanganyiko ni hapa police wanapotoa hii taarifa mara tu baada ya majibu kutoka. Maswali yamekuwa mengi na wengi wanaona kama utaratibu umekiukwa ama huu ni utaratibu mpya

Kumbe kulikuwa tayari na hofu ya mchezo mchafu kwenye huo ugonjwa? Kwahiyo sample Hazikwenda kwa madaktari wa kawaida bali kwa mkemia mkuu na majibu wakapewa police na si daktari wake?

Ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake mpaka pale atakaporuhusu vinginevyo.. Je kwenye hili Mzee Mangula karidhia litangazwe hadharani? Na vipi kuhusu daktari wake.

Je, kuna kesi yoyote imeshafunguliwa mahakamani na mlalamikaji ni nani!? Washukiwa ni nani?

Polisi imeshachimba bit kuwa itawatafuta wahusika 'walioweka sumu ' kwenye chakula, nje na ndani ya chama, nje na ndani ya nchi? Mbona kama ni mkwara wa haraka mno?

Kama sumu husika ilimpataa kupitia chakula
Je, ni nani siku hiyo alipewa tenda ya chakula?
Je, ni nani siku hiyo alimsavia mzee Mangula chakula?
Je, ni sumu ya aina gani mzee Mangula aliwekewa?

Hivi kwani haiwezekani ikawa pengine ni nzi wa kijani yule wa chooni ilitokea akapita kwenye chakula cha mzee Mangula na kuacha uchafu wake hapo uliomuathiri mzee?

Kuna mkanganyiko mkubwa sana kwenye hili kama sio propaganda kwakuwa taarifa ya police inazua maswali mengi kuliko majibu.

Hebu tuchukulie katika hali ya kawaida kabisa kwamba mzee Mangula alikuwa na maadui na wakaona njia bora ya kummaliza nia kupitia sumu kwenye chakula na sio njia nyingine yoyote.

Je, ni uaduli juu ya nini? Ama kama ni chuki ni juu ya nini?
Je, ni kisasi?
Je, ni roho mbaya?
Je, mzee anajua nini ambacho wahusika/mhusika hawakutaka aendelee kukijua?
Je, Mzee hajui nini ambacho wahusika/ mhusika hawakutaka akijue?
Je, kwa kutumia sumu kwenye chakula mhusika/wahusika hawakuona hatari ya kujulikana haraka kama
mzee Mangula angeathiriwa na sumu kiasi cha kupoteza uhai na hatimaye mwili wake kufanyiwa post mortem?

Kwa kumbukumbu za nyuma Kolimba na Chachange wote marehemu hawa. Inasemwa walimalizwa kupitia sumu kwenye chakula maji... Kwanini huyu kitumike chakula?

Kuna risk kubwa kwenye kutumia chakula kama silaha ya sumu kwakuwa inahusisha watu wengi na mmoja anaweza kuharibikiwa biashara yake hasa kama chakula husika kililishwa kwa tenda..

Tunachezwa shere hapa na polisi ndio wanatuchanganya zaidi kuhusiana na hili lakini pia kuna wale vijana waliokuwa wanatabiri kuhusu kutokea tukio kunwaa je ni hili lililofeli ama kuna lingine?

Jr[emoji769]
Wanaccm hawaachiani maji mezani - Kikwete
 
Kama kuna kitu kina makengeza mengi ni hili la mzee wetu Mangula aliyepata ugonjwa wa ghafla akiwa kwenye majukumu yake na kukimbizwa hospital ya Taifa Muhimbili.

Wananchi hatukujua kabla kama kuna la ziada nyuma ya pazia kuhusiana na huu ugonjwa mpaka police walipotoa ripoti matokeo ya uchunguzi wa vipimo vya mzee Mangula kwamba vipimo majibu yanaonesha alilishwa sumu kwenye chakula

Mkanganyiko ni hapa police wanapotoa hii taarifa mara tu baada ya majibu kutoka. Maswali yamekuwa mengi na wengi wanaona kama utaratibu umekiukwa ama huu ni utaratibu mpya

Kumbe kulikuwa tayari na hofu ya mchezo mchafu kwenye huo ugonjwa? Kwahiyo sample Hazikwenda kwa madaktari wa kawaida bali kwa mkemia mkuu na majibu wakapewa police na si daktari wake?

Ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake mpaka pale atakaporuhusu vinginevyo.. Je kwenye hili Mzee Mangula karidhia litangazwe hadharani? Na vipi kuhusu daktari wake.

Je, kuna kesi yoyote imeshafunguliwa mahakamani na mlalamikaji ni nani!? Washukiwa ni nani?

Polisi imeshachimba bit kuwa itawatafuta wahusika 'walioweka sumu ' kwenye chakula, nje na ndani ya chama, nje na ndani ya nchi? Mbona kama ni mkwara wa haraka mno?

Kama sumu husika ilimpataa kupitia chakula
Je, ni nani siku hiyo alipewa tenda ya chakula?
Je, ni nani siku hiyo alimsavia mzee Mangula chakula?
Je, ni sumu ya aina gani mzee Mangula aliwekewa?

Hivi kwani haiwezekani ikawa pengine ni nzi wa kijani yule wa chooni ilitokea akapita kwenye chakula cha mzee Mangula na kuacha uchafu wake hapo uliomuathiri mzee?

Kuna mkanganyiko mkubwa sana kwenye hili kama sio propaganda kwakuwa taarifa ya police inazua maswali mengi kuliko majibu.

Hebu tuchukulie katika hali ya kawaida kabisa kwamba mzee Mangula alikuwa na maadui na wakaona njia bora ya kummaliza nia kupitia sumu kwenye chakula na sio njia nyingine yoyote.

Je, ni uaduli juu ya nini? Ama kama ni chuki ni juu ya nini?
Je, ni kisasi?
Je, ni roho mbaya?
Je, mzee anajua nini ambacho wahusika/mhusika hawakutaka aendelee kukijua?
Je, Mzee hajui nini ambacho wahusika/ mhusika hawakutaka akijue?
Je, kwa kutumia sumu kwenye chakula mhusika/wahusika hawakuona hatari ya kujulikana haraka kama
mzee Mangula angeathiriwa na sumu kiasi cha kupoteza uhai na hatimaye mwili wake kufanyiwa post mortem?

Kwa kumbukumbu za nyuma Kolimba na Chachange wote marehemu hawa. Inasemwa walimalizwa kupitia sumu kwenye chakula maji... Kwanini huyu kitumike chakula?

Kuna risk kubwa kwenye kutumia chakula kama silaha ya sumu kwakuwa inahusisha watu wengi na mmoja anaweza kuharibikiwa biashara yake hasa kama chakula husika kililishwa kwa tenda..

Tunachezwa shere hapa na polisi ndio wanatuchanganya zaidi kuhusiana na hili lakini pia kuna wale vijana waliokuwa wanatabiri kuhusu kutokea tukio kunwaa je ni hili lililofeli ama kuna lingine?

Jr[emoji769]
Waliotaka kumuua ni wale wanaokataza watu kwenda kumwona
 
Back
Top Bottom