Ni nani alitaka kumuua Mzee Mangula? Kwanini?

Ni nani alitaka kumuua Mzee Mangula? Kwanini?

Kitaaluma zaidi [emoji109][emoji120][emoji120][emoji120]
Bad things comes in small packages and are effective in miniscule amounts. Nahisi ni huyo nzi wa kijani! Tusimdharau kabisa.

Daktari angetuambia kwanza kwanini na lini walichukua uamuzi wa kwenda kwenye toxicology. Manake kwa uzee ule kuna mengi. Waliona nini,was it massive tissue necrosis?

Circulatory failure? Mzee alipopokelewa alikuwa anaongea? Walishtuliwa? Na nani,wakati gani? Mzee alihisi mzee mchezo mchafu au kuna aliyeasi akatoboa siri mzee apone?

Vipimo gani vingine walifanya?

Jr[emoji769]
 
Hata food poison / contaminated food ni sumu pia, mtu anaweza kupata kupitia chakula alichokula nyumbani kwake, chakula wanaweza kula wengi lkn bahati mbaya mmoja akala sehemu ambayo ilikuwa contaminated na akaathirika. Nina wasiwasi CCM wamefanya hitimisho mapema, wangejipa muda na kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kuja kwenye public.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Most likely
Hata food poison / contaminated food ni sumu pia, mtu anaweza kupata kupitia chakula alichokula nyumbani kwake, chakula wanaweza kula wengi lkn bahati mbaya mmoja akala sehemu ambayo ilikuwa contaminated na akaathirika. Nina wasiwasi CCM wamefanya hitimisho mapema, wangejipa muda na kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kuja kwenye public.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Waache kuwadanganya watu buaaana kha

Mangula ni mtu mzima mwili umeanza kuchoka. Matatizo ya moyo yanaanzaga hiviiii
Aliyelishwa sumu yupo hivyo kweli? Mje kivingine hili mtaaibika bure!

Mtu aliyelishwa sumu huwa anaanguka tuuuu hakuna kutapika kuharisha kutokwa na povu hebu ondoeni sarakasi zenu
Iko hivi maccm walivyowajinga wanatumia opportunity ya ugonjwa wa mtu kumnunulia mtu kesi Membe atatafutiwa kila hila

Tuelekeze akili na mawazo KISUTU huu upuuzi tuwaachie wenyewe
 
There's a natural mystic
Blowing through the air
If you listen carefully now you will hear
This could be the first trumpet
Might as well be the last
Many more will have to suffer
Many more will have to die
Don't ask me why?
Things are not the way they used to be
I won't tell no lie
ONE AND ALL GOT TO FACE REALITY FROM NOW[emoji817] BOB MARLEY[emoji817]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwani haiwezekani ikawa pengine ni nzi wa kijani yule wa chooni ilitokea akapita kwenye chakula cha mzee Mangula na kuacha uchafu wake hapo uliomuathiri mzee?
HAWA NZI WA KIJANI NI BALAA,WANAWEZA KUKUSABABISHIA KIFO HALAFU WENYEWE WAKASHANGAA UMEKUFAJE. LAKINI KWA NAMNA WANAVYOPENDA MIZOGA,INAWALAZIMU KUBEBA SUMU NA KUUA ILI WAPATE MZOGA.
 
[emoji44][emoji30][emoji87][emoji144][emoji119][emoji119][emoji23]
HAWA NZI WA KIJANI NI BALAA,WANAWEZA KUKUSABABISHIA KIFO HALAFU WENYEWE WAKASHANGAA UMEKUFAJE. LAKINI KWA NAMNA WANAVYOPENDA MIZOGA,INAWALAZIMU KUBEBA SUMU NA KUUA ILI WAPATE MZOGA.

Jr[emoji769]
 
Kama kuna kitu kina makengeza mengi ni hili la mzee wetu Mangula aliyepata ugonjwa wa ghafla akiwa kwenye majukumu yake na kukimbizwa hospital ya Taifa Muhimbili.

Wananchi hatukujua kabla kama kuna la ziada nyuma ya pazia kuhusiana na huu ugonjwa mpaka police walipotoa ripoti matokeo ya uchunguzi wa vipimo vya mzee Mangula kwamba vipimo majibu yanaonesha alilishwa sumu kwenye chakula

Mkanganyiko ni hapa police wanapotoa hii taarifa mara tu baada ya majibu kutoka. Maswali yamekuwa mengi na wengi wanaona kama utaratibu umekiukwa ama huu ni utaratibu mpya

Kumbe kulikuwa tayari na hofu ya mchezo mchafu kwenye huo ugonjwa? Kwahiyo sample Hazikwenda kwa madaktari wa kawaida bali kwa mkemia mkuu na majibu wakapewa police na si daktari wake?

Ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake mpaka pale atakaporuhusu vinginevyo.. Je kwenye hili Mzee Mangula karidhia litangazwe hadharani? Na vipi kuhusu daktari wake.

Je, kuna kesi yoyote imeshafunguliwa mahakamani na mlalamikaji ni nani!? Washukiwa ni nani?

Polisi imeshachimba bit kuwa itawatafuta wahusika 'walioweka sumu ' kwenye chakula, nje na ndani ya chama, nje na ndani ya nchi? Mbona kama ni mkwara wa haraka mno?

Kama sumu husika ilimpataa kupitia chakula
Je, ni nani siku hiyo alipewa tenda ya chakula?
Je, ni nani siku hiyo alimsavia mzee Mangula chakula?
Je, ni sumu ya aina gani mzee Mangula aliwekewa?

Hivi kwani haiwezekani ikawa pengine ni nzi wa kijani yule wa chooni ilitokea akapita kwenye chakula cha mzee Mangula na kuacha uchafu wake hapo uliomuathiri mzee?

Kuna mkanganyiko mkubwa sana kwenye hili kama sio propaganda kwakuwa taarifa ya police inazua maswali mengi kuliko majibu.

Hebu tuchukulie katika hali ya kawaida kabisa kwamba mzee Mangula alikuwa na maadui na wakaona njia bora ya kummaliza nia kupitia sumu kwenye chakula na sio njia nyingine yoyote.

Je, ni uaduli juu ya nini? Ama kama ni chuki ni juu ya nini?
Je, ni kisasi?
Je, ni roho mbaya?
Je, mzee anajua nini ambacho wahusika/mhusika hawakutaka aendelee kukijua?
Je, Mzee hajui nini ambacho wahusika/ mhusika hawakutaka akijue?
Je, kwa kutumia sumu kwenye chakula mhusika/wahusika hawakuona hatari ya kujulikana haraka kama
mzee Mangula angeathiriwa na sumu kiasi cha kupoteza uhai na hatimaye mwili wake kufanyiwa post mortem?

Kwa kumbukumbu za nyuma Kolimba na Chachange wote marehemu hawa. Inasemwa walimalizwa kupitia sumu kwenye chakula maji... Kwanini huyu kitumike chakula?

Kuna risk kubwa kwenye kutumia chakula kama silaha ya sumu kwakuwa inahusisha watu wengi na mmoja anaweza kuharibikiwa biashara yake hasa kama chakula husika kililishwa kwa tenda..

Tunachezwa shere hapa na polisi ndio wanatuchanganya zaidi kuhusiana na hili lakini pia kuna wale vijana waliokuwa wanatabiri kuhusu kutokea tukio kunwaa je ni hili lililofeli ama kuna lingine?

Jr[emoji769]
Taarifa ya Mambosasa inatoa kiashirio ni nani wanataka kumbabika kesi kuhusu sumu ya Mzee Mangula.
Tusishangae wakisema ni BCM - Bernard Camillius Membe. Muda utasema.
 
Kama kuna kitu kina makengeza mengi ni hili la mzee wetu Mangula aliyepata ugonjwa wa ghafla akiwa kwenye majukumu yake na kukimbizwa hospital ya Taifa Muhimbili.

Wananchi hatukujua kabla kama kuna la ziada nyuma ya pazia kuhusiana na huu ugonjwa mpaka police walipotoa ripoti matokeo ya uchunguzi wa vipimo vya mzee Mangula kwamba vipimo majibu yanaonesha alilishwa sumu kwenye chakula

Mkanganyiko ni hapa police wanapotoa hii taarifa mara tu baada ya majibu kutoka. Maswali yamekuwa mengi na wengi wanaona kama utaratibu umekiukwa ama huu ni utaratibu mpya

Kumbe kulikuwa tayari na hofu ya mchezo mchafu kwenye huo ugonjwa? Kwahiyo sample Hazikwenda kwa madaktari wa kawaida bali kwa mkemia mkuu na majibu wakapewa police na si daktari wake?

Ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake mpaka pale atakaporuhusu vinginevyo.. Je kwenye hili Mzee Mangula karidhia litangazwe hadharani? Na vipi kuhusu daktari wake.

Je, kuna kesi yoyote imeshafunguliwa mahakamani na mlalamikaji ni nani!? Washukiwa ni nani?

Polisi imeshachimba bit kuwa itawatafuta wahusika 'walioweka sumu ' kwenye chakula, nje na ndani ya chama, nje na ndani ya nchi? Mbona kama ni mkwara wa haraka mno?

Kama sumu husika ilimpataa kupitia chakula
Je, ni nani siku hiyo alipewa tenda ya chakula?
Je, ni nani siku hiyo alimsavia mzee Mangula chakula?
Je, ni sumu ya aina gani mzee Mangula aliwekewa?

Hivi kwani haiwezekani ikawa pengine ni nzi wa kijani yule wa chooni ilitokea akapita kwenye chakula cha mzee Mangula na kuacha uchafu wake hapo uliomuathiri mzee?

Kuna mkanganyiko mkubwa sana kwenye hili kama sio propaganda kwakuwa taarifa ya police inazua maswali mengi kuliko majibu.

Hebu tuchukulie katika hali ya kawaida kabisa kwamba mzee Mangula alikuwa na maadui na wakaona njia bora ya kummaliza nia kupitia sumu kwenye chakula na sio njia nyingine yoyote.

Je, ni uaduli juu ya nini? Ama kama ni chuki ni juu ya nini?
Je, ni kisasi?
Je, ni roho mbaya?
Je, mzee anajua nini ambacho wahusika/mhusika hawakutaka aendelee kukijua?
Je, Mzee hajui nini ambacho wahusika/ mhusika hawakutaka akijue?
Je, kwa kutumia sumu kwenye chakula mhusika/wahusika hawakuona hatari ya kujulikana haraka kama
mzee Mangula angeathiriwa na sumu kiasi cha kupoteza uhai na hatimaye mwili wake kufanyiwa post mortem?

Kwa kumbukumbu za nyuma Kolimba na Chachange wote marehemu hawa. Inasemwa walimalizwa kupitia sumu kwenye chakula maji... Kwanini huyu kitumike chakula?

Kuna risk kubwa kwenye kutumia chakula kama silaha ya sumu kwakuwa inahusisha watu wengi na mmoja anaweza kuharibikiwa biashara yake hasa kama chakula husika kililishwa kwa tenda..

Tunachezwa shere hapa na polisi ndio wanatuchanganya zaidi kuhusiana na hili lakini pia kuna wale vijana waliokuwa wanatabiri kuhusu kutokea tukio kunwaa je ni hili lililofeli ama kuna lingine?

Jr[emoji769]

Hivi nikae hapa eti naamini anachoongea Mambosasa au CCM au yeyote yule kutoka serikalini kuhusu chochote??!

Nitakua sijui naumwa corona!

Infact the most lying gvt on this planet!
 
Taarifa ya Mambosasa inatoa kiashirio ni nani wanataka kumbabika kesi kuhusu sumu ya Mzee Mangula.
Tusishangae wakisema ni BCM - Bernard Camillius Membe. Muda utasema.
Hivi nikae hapa eti naamini anachoongea Mambosasa au CCM au yeyote yule kutoka serikalini kuhusu chochote??!

Nitakua sijui naumwa corona!

Infact the most lying gvt on this planet!
Only Mwakyembe ndio alipata shambulio la kweli la sumu na ilimpataa barabara... Ikamparua nywele na kuzeesha ngozi yake akawa kama mgonjwa wa ukoma... Pesa, perfect timing na bahati ndio viliokoa maisjaa yake

Jr[emoji769]
 
.
Hata food poison / contaminated food ni sumu pia, mtu anaweza kupata kupitia chakula alichokula nyumbani kwake, chakula wanaweza kula wengi lkn bahati mbaya mmoja akala sehemu ambayo ilikuwa contaminated na akaathirika. Nina wasiwasi CCM wamefanya hitimisho mapema, wangejipa muda na kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kuja kwenye public.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
downloadfile.jpeg


Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom