dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,937
- 8,358
Leo ktk taatifa ya habari ITV mh. Rais kasema kuna mwanasiasa alikopa bilion kadhaa TIB na anahaha kutaka asamehewe.
Ni nani huyo!?
Ni nani huyo!?
Afu hii ni mara ya tatu rais anamzungumzia huyo mtuLeo ktk taatifa ya habari ITV mh. Rais kasema kuna mwanasiasa alikopa bilion kadhaa TIB na anahaha kutaka asamehewe.
Ni nani huyo!?
Kwa nini unasema hivyo mkuu?atakuwa Mbowe au LOWASA.
Inaonyesha huna uhakikaatakuwa Mbowe au LOWASA.
Wacha kudanganya watu. Kila mtu anajua ni Nape ndiye aliyekopa TIBatakuwa Mbowe au LOWASA.
Labda yeye mwenyewe maana angekuwa Mpinzani muda huu kaishafilisiwaLeo ktk taatifa ya habari ITV mh. Rais kasema kuna mwanasiasa alikopa bilion kadhaa TIB na anahaha kutaka asamehewe.
Ni nani huyo!?
kwani simon group nae ni mwanasiasaLabda Simon Group
Nape siyo wa ARUSHA, acha upuuziWacha kudanganya watu. Kila mtu anajua ni Nape ndiye aliyekopa TIB
Mhh, kama ni yeye amekwisha. Manake naona kama taa haziwaki na mwenye nchiWacha kudanganya watu. Kila mtu anajua ni Nape ndiye aliyekopa TIB