Ni mwanasiasa gani alikopa TIB?

Ni mwanasiasa gani alikopa TIB?

[HASHTAG]#Operesheni[/HASHTAG] [HASHTAG]#MboweLipaMadeni[/HASHTAG]!
 
Tz ina madeni kibao toka ulaya mpaka wameshindwa kurudisha
mbowe alipe,na wenzie watafuata,halafu akilipa ndipo tutapata uwezo wa kuyalipa madeni ya nje!
...una hakika na unacho kinena?
anacho kinena,na figo pia!
Hata km ni kweli ila hayakuhusu kwani kakukopa ww mkuu?
yanatuhusu,kwani ni kodi zetu!
Maden lazima tudai kwa waliokopa wote had wahitimu wa vyuo vikuu hatuna masihara kwenye maden jombaa
sawa mkuu,twendeleze jalamba!
[HASHTAG]#Operesheni[/HASHTAG] [HASHTAG]#MboweLipaMadeni[/HASHTAG]!
 
Mbowe unatakiwa urudishe hizo pesa ulizokopa TIB huu ni wakati mwingine mda wa kuchekeana ulishapita hii selikali si ya masihara sihara hatuna msamaha juu yako vingine shamba lako litapigwa mnada ulizoe kuish kwa ujanja ujanja sana sasa badilika
wewe uvccm wewe? nani kakueleza kukopa ni dhambi? kwani umeambiwa huyo mkopaji amepitiliza muda wa kurejesha? Kama ndio, TIB si wanataratibu zao za kukusanya madeni kwa mikopo iliyomaliza muda wake?
 
Back
Top Bottom