Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,977
- 32,283
C6 Acha majungu na ftna.
Hata siku moja siwezi kumbambikia mume wangu Chimbuvu mtoto
Last edited by a moderator:
eenh niseme nisiseme, jamani nauliza niseme nisiseme....???
Shem unajua hawa vijana ni pasua kichwa.
Heri nijilipue kwa wazee wanaojua kulea.
Jamani Invisible,nikiona yale macho yake nakuwa hoi kabisa.
my shem kwani sina haki ya kumzimia my hezbend... mtoa mada angeweka mwanaume na mwanamke... haki sawa kwa wote
thread za kipumbavu za chit chat......
Only my wife! marejesho popote ulipo! Nakuzimia mno!
charmingladyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
Wote yaani ai lavu zem oll!
unatamani uwafanye nini?