Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

Erickb52 mulika mwizi, naona unatamani kunatana na mwanamke anayejisikia uchungu wa labor, uwiii mama kijacho in two weeks atakuwa bugando wodi namba c2, ngoja niandae vitu maana ntahakikisha mtoto akitoka mtu wa kwanza kumuona niwe babaake
 
Last edited by a moderator:
Asilimia 80 ya watoto wanaozaliwa huwa wanasingiziwa baba.


Erickb52 mulika mwizi, naona unatamani kunatana na mwanamke anayejisikia uchungu wa labor, uwiii mama kijacho in two weeks atakuwa bugando wodi namba c2, ngoja niandae vitu maana ntahakikisha mtoto akitoka mtu wa kwanza kumuona niwe babaake
 
Last edited by a moderator:
nna mashaka na Erickb52 na Chimbuvu nyie waulizeni mama zenu, baba zenu wa ukweli ni kina nani maana naona hii kitu inawatembea kwenye damu, msipofunguliwa kwa maombi ya kuondoa mapepo ya kusingiziwa watoto mtalea watoto wengi sana ambao sio wenu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom