Mkuu Nicas Mtei,na huyu naye ni mwanamke?
We unaonaje?
charmingladyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
Erickb52 mulika mwizi, naona unatamani kunatana na mwanamke anayejisikia uchungu wa labor, uwiii mama kijacho in two weeks atakuwa bugando wodi namba c2, ngoja niandae vitu maana ntahakikisha mtoto akitoka mtu wa kwanza kumuona niwe babaake
Asilimia 80 ya watoto wanaozaliwa huwa wanasingiziwa baba.
macho yenyewe unayo basi!!!
Hamjaulizwa wanaume mnaowazimia bali wanawake jamani...
Shem ! Hicho kitakua kijiti au laga ?
Kama ni kijiti basi kitakua "cha Malawi" kule Mzuzu!