BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Duh.....Mkuu sio huyo mama tu,mama ntilie wengi,wapika vitafunwa na migahawa mingi ina vituko sana.Mimi sili kabisa magengeni na migahawani mkuu.Nilishashuhudia mama ntilie akikojolea chai,sina hamu mkuu.
Ina maana wewe na mjomba wako mlikuwa mnakula vitumbua vilivyopikwa kwa maji kutoka kwenye papuchi? Du mnalalamika nini.Two in one, vitumbua na maji ya papuchi kama ofa!!!Ni miaka 6 sasa imepita sijala vitumbua hivyo ladha ya vitumbua nimeshaisahau.
nilijiapiza sitokula tena vitumbua kwa kile nilichoki shuhudia.
mwaka 2010 nilikuwa naishi na mjomba wangu katika moja ya maeneo.
na huyo mjomba wangu alikuwa mpenzi sana wa vitumbua na uzuri ni
kwamba pale mtaani tunapoishi jirani yetu alikuwa anapika vitumbua hivyo watu asubuhi hukusanyika kwake kibarazani na kununua vitafunwa hivyo.
Mjomba wangu huwa ni mtu anayeswali hivyo saa kumi na moja alfajiri huamka na mara nyingi anapoelekea msikitini hupitia kwa yule mama muuza vitumbua na humpa maelekezo namna vitumbua vyake vipikwe ''huyu mjomba wangu huwa anapenda vitumbua vyake viwekwe hiriki na abdalasini'' kwahiyo yule mama huwa anatenga vitumbua kadhaa labda vitano ambayo huweka viungo hivyo kwaajili ya mjomba wangu,mara nyingi humpitia yule mama ili kumkumbusha tu asije kusahau na ukizingatia yule mama nyumba anapoishi ni jirani na kwetu.
Nakumbuka ilikuwa kipindi ambacho usiku ni mfupi hivyo jua huwahi kuchomoza,kama kawaida mjomba wangu huyo kaamka alfajiri aelekee kuswali msikitini na aliniamsha sababu ilitakiwa niwahi chuoni sababu ya Cat 2 kwahiyo nilimhimiza aniamshe mapema saa kumi na moja ili niweze kupata muda wa kuperuzi na kujiandaa,sasa mjomba wangu huyo akaniomba niende kwenye ile nyumba nimpe maelekezo yule mama ''siyo kila siku anapewa maelekezo sababu kuna baadhi ya siku huwa hanunui vitumbua sasa siku hiyo alikuwa ana uhitaji wa vitumbua''.
maelekezo huwa anampa mapema sababu mjomba huyu huwa anaenda kazini mapema hivyo huwa anapikiwa vitumbua mwanzo kabisa na mida kama ya saa kumi na mbili na nusu au saa moja kasoro huwa anavipata na kuchangamsha tumbo lake kabla ya kuelekea kazini
sasa nimeenda kwenye ile nyumba kuna mlango huwa upo wazi,ni kawaida kwa mida hiyo mlango huo kuwa wazi nikausukumiza nilicho shuhudia sikukiamini kabisa.Yule mama muuza vitumbua yupo uchi kanga ipo pembeni ananyunyuzia maji kwenye uchi wake kisha yale maji yanaingia kwenye beseni la vitumbua,ni kama mithili ya mtu anayetawadha...nilipigwa na butwaa na mshangao sasa wakati nageuza yule mama akastuka akaniona.Kufika nyumbani nikamsimulia mjomba nilichokiona .
Aliniuliza mara mbili mbili akidhani namtania ,kama ni kweli nikamuambia uhakika kwa macho yangu mawili nimemuona akifanya hivyo,kwa hasira mjomba alitaka kwenda kumvamia yule mama nikamtuliza lakini alienda kumchana laivu yule mama asubuhi yake.
Tokea hiyo siku huyo mjomba wangu yeye na vitumbua ni kama panya na paka wakati alikuwa mpenzi sana wa vitumbua,na mimi hapa tokea 2010 mpaka leo hii sijatia kitumbua mdomoni kwangu kila nikitaka kula navuta picha tukio la yule mama akinyunyuzia maji kwenye uchi wake kisha yale maji yanaingia kwenye beseni ya unga wa vitumbua.
yule mama kwa aibu aliondoka pale mtaani alihama kabisa.
View attachment 449927 View attachment 449929 View attachment 449927
Nimeipenda hiiMbona fresh tu, watu wanazama chumvini sembuse vitumbua vilivyopita kwenye moto kabisa
Ni miaka 6 sasa imepita sijala vitumbua hivyo ladha ya vitumbua nimeshaisahau.
nilijiapiza sitokula tena vitumbua kwa kile nilichoki shuhudia.
mwaka 2010 nilikuwa naishi na mjomba wangu katika moja ya maeneo.
na huyo mjomba wangu alikuwa mpenzi sana wa vitumbua na uzuri ni
kwamba pale mtaani tunapoishi jirani yetu alikuwa anapika vitumbua hivyo watu asubuhi hukusanyika kwake kibarazani na kununua vitafunwa hivyo.
Mjomba wangu huwa ni mtu anayeswali hivyo saa kumi na moja alfajiri huamka na mara nyingi anapoelekea msikitini hupitia kwa yule mama muuza vitumbua na humpa maelekezo namna vitumbua vyake vipikwe ''huyu mjomba wangu huwa anapenda vitumbua vyake viwekwe hiriki na abdalasini'' kwahiyo yule mama huwa anatenga vitumbua kadhaa labda vitano ambayo huweka viungo hivyo kwaajili ya mjomba wangu,mara nyingi humpitia yule mama ili kumkumbusha tu asije kusahau na ukizingatia yule mama nyumba anapoishi ni jirani na kwetu.
Nakumbuka ilikuwa kipindi ambacho usiku ni mfupi hivyo jua huwahi kuchomoza,kama kawaida mjomba wangu huyo kaamka alfajiri aelekee kuswali msikitini na aliniamsha sababu ilitakiwa niwahi chuoni sababu ya Cat 2 kwahiyo nilimhimiza aniamshe mapema saa kumi na moja ili niweze kupata muda wa kuperuzi na kujiandaa,sasa mjomba wangu huyo akaniomba niende kwenye ile nyumba nimpe maelekezo yule mama ''siyo kila siku anapewa maelekezo sababu kuna baadhi ya siku huwa hanunui vitumbua sasa siku hiyo alikuwa ana uhitaji wa vitumbua''.
maelekezo huwa anampa mapema sababu mjomba huyu huwa anaenda kazini mapema hivyo huwa anapikiwa vitumbua mwanzo kabisa na mida kama ya saa kumi na mbili na nusu au saa moja kasoro huwa anavipata na kuchangamsha tumbo lake kabla ya kuelekea kazini
sasa nimeenda kwenye ile nyumba kuna mlango huwa upo wazi,ni kawaida kwa mida hiyo mlango huo kuwa wazi nikausukumiza nilicho shuhudia sikukiamini kabisa.Yule mama muuza vitumbua yupo uchi kanga ipo pembeni ananyunyuzia maji kwenye uchi wake kisha yale maji yanaingia kwenye beseni la vitumbua,ni kama mithili ya mtu anayetawadha...nilipigwa na butwaa na mshangao sasa wakati nageuza yule mama akastuka akaniona.Kufika nyumbani nikamsimulia mjomba nilichokiona .
Aliniuliza mara mbili mbili akidhani namtania ,kama ni kweli nikamuambia uhakika kwa macho yangu mawili nimemuona akifanya hivyo,kwa hasira mjomba alitaka kwenda kumvamia yule mama nikamtuliza lakini alienda kumchana laivu yule mama asubuhi yake.
Tokea hiyo siku huyo mjomba wangu yeye na vitumbua ni kama panya na paka wakati alikuwa mpenzi sana wa vitumbua,na mimi hapa tokea 2010 mpaka leo hii sijatia kitumbua mdomoni kwangu kila nikitaka kula navuta picha tukio la yule mama akinyunyuzia maji kwenye uchi wake kisha yale maji yanaingia kwenye beseni ya unga wa vitumbua.
yule mama kwa aibu aliondoka pale mtaani alihama kabisa.
View attachment 449927 View attachment 449929 View attachment 449927
Acha ubwege wewe unazama chumvini kwa kila MTU?Hv kwa mtu anayezama chunvini hii ...issue ya kutafuna vitumbua vya mikato hii haimsumbui? Ni swali tu
Mbona huyo mzuriDuh
Basi haya ufanywa na wanaotenda hayo kwenye kila chakula kuvutia wateja haswa au mengine pia kama ya masharti anayopewa ya kitu alivhoomba kiwe kishetani.....ndio maisha yao wengi.
Na pia wale wapenda kufanya sherehe ya lazima vinywaji na vyakula kama nyama choma ya ng'ombe mzima au mbuzi
ila mara bila sababu, hao nao wengi wana masharti.
Ameenda kuendeleza kwingine...
Duniani bora ule unachopika kwako, la sivyo tembea na Mola na imani ya kuwa na nguvu juu ya haya mambo.
Wengine hunyunyizia maji waliyooshea maiti.
Hivi vyakula tunavyokula nje ya nyumbani na noma sana
Acha ujinga malizia ilikuwaje??Kuna vitu vitatu ambavyo siwezi kabisa kula yaani nikiviona nahisi kutapika:
Maandazi
Chapati
Vitumbua,
Kisa kuna siku nilimkuta mama mmoja wa mgahawani akikanda unga kwaajili ya Chapati, yaani duuu!! Nataka tena kutapika hapa, maana nimekumbuka