isambe
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 2,195
- 1,401
a mnakupenda huko anapochambia basi na vitumbua vyake vipendwehivyo especially na wanaume, ndio maana mjomba alikuwahataki vimkauke mdomoni.Hawa waganga wanawadanganya sana dada zetu..
Kwa hiyo maji aliyokuwa anachambia ndio dawa ya kuvuta wateja!
Pole mkuu...tupe uzoefu wako vilikuwa na ladha gani,maana tujue kuviepuka.