Ni mwaka wa sita sasa sijala vitumbua nilijiapiza sitokula vitumbua tena kwa kile nilichokiona

Kama hivi nakvyokula hapa.jirani vilivyo vitamu...siachi kula ngo, Tena namshauri kama nayeye ni mbinu yake ajaribu na kukata gogo kabisa maana...radha yake ni mashallah
 
Ni miaka 6 sasa imepita sijala vitumbua hivyo ladha ya vitumbua nimeshaisahau.
nilijiapiza sitokula tena vitumbua kwa kile nilichoki shuhudia.

mwaka 2010 nilikuwa naishi na mjomba wangu katika moja ya maeneo.
na huyo mjomba wangu alikuwa mpenzi sana wa vitumbua na uzuri ni
kwamba pale mtaani tunapoishi jirani yetu alikuwa anapika vitumbua hivyo watu asubuhi hukusanyika kwake kibarazani na kununua vitafunwa hivyo.

Mjomba wangu huwa ni mtu anayeswali hivyo saa kumi na moja alfajiri huamka na mara nyingi anapoelekea msikitini hupitia kwa yule mama muuza vitumbua na humpa maelekezo namna vitumbua vyake vipikwe ''huyu mjomba wangu huwa anapenda vitumbua vyake viwekwe hiriki na abdalasini'' kwahiyo yule mama huwa anatenga vitumbua kadhaa labda vitano ambayo huweka viungo hivyo kwaajili ya mjomba wangu,mara nyingi humpitia yule mama ili kumkumbusha tu asije kusahau na ukizingatia yule mama nyumba anapoishi ni jirani na kwetu.

Nakumbuka ilikuwa kipindi ambacho usiku ni mfupi hivyo jua huwahi kuchomoza,kama kawaida mjomba wangu huyo kaamka alfajiri aelekee kuswali msikitini na aliniamsha sababu ilitakiwa niwahi chuoni sababu ya Cat 2 kwahiyo nilimhimiza aniamshe mapema saa kumi na moja ili niweze kupata muda wa kuperuzi na kujiandaa,sasa mjomba wangu huyo akaniomba niende kwenye ile nyumba nimpe maelekezo yule mama ''siyo kila siku anapewa maelekezo sababu kuna baadhi ya siku huwa hanunui vitumbua sasa siku hiyo alikuwa ana uhitaji wa vitumbua''.

maelekezo huwa anampa mapema sababu mjomba huyu huwa anaenda kazini mapema hivyo huwa anapikiwa vitumbua mwanzo kabisa na mida kama ya saa kumi na mbili na nusu au saa moja kasoro huwa anavipata na kuchangamsha tumbo lake kabla ya kuelekea kazini

sasa nimeenda kwenye ile nyumba kuna mlango huwa upo wazi,ni kawaida kwa mida hiyo mlango huo kuwa wazi nikausukumiza nilicho shuhudia sikukiamini kabisa.Yule mama muuza vitumbua yupo uchi kanga ipo pembeni ananyunyuzia maji kwenye uchi wake kisha yale maji yanaingia kwenye beseni la vitumbua,ni kama mithili ya mtu anayetawadha...nilipigwa na butwaa na mshangao sasa wakati nageuza yule mama akastuka akaniona.Kufika nyumbani nikamsimulia mjomba nilichokiona .

Aliniuliza mara mbili mbili akidhani namtania ,kama ni kweli nikamuambia uhakika kwa macho yangu mawili nimemuona akifanya hivyo,kwa hasira mjomba alitaka kwenda kumvamia yule mama nikamtuliza lakini alienda kumchana laivu yule mama asubuhi yake.


Tokea hiyo siku huyo mjomba wangu yeye na vitumbua ni kama panya na paka wakati alikuwa mpenzi sana wa vitumbua,na mimi hapa tokea 2010 mpaka leo hii sijatia kitumbua mdomoni kwangu kila nikitaka kula navuta picha tukio la yule mama akinyunyuzia maji kwenye uchi wake kisha yale maji yanaingia kwenye beseni ya unga wa vitumbua.


yule mama kwa aibu aliondoka pale mtaani alihama kabisa.





View attachment 449927 View attachment 449929 View attachment 449927
Ina maana wewe na mjomba wako mlikuwa mnakula vitumbua vilivyopikwa kwa maji kutoka kwenye papuchi? Du mnalalamika nini.Two in one, vitumbua na maji ya papuchi kama ofa!!!
 
Kuna mwingine ule uchafu wa anapokuwa kwenye siku zake alikuwa anauchanganya kwenye wali wateja wakawa wanajaa kibao.

Ni miaka 6 sasa imepita sijala vitumbua hivyo ladha ya vitumbua nimeshaisahau.
nilijiapiza sitokula tena vitumbua kwa kile nilichoki shuhudia.

mwaka 2010 nilikuwa naishi na mjomba wangu katika moja ya maeneo.
na huyo mjomba wangu alikuwa mpenzi sana wa vitumbua na uzuri ni
kwamba pale mtaani tunapoishi jirani yetu alikuwa anapika vitumbua hivyo watu asubuhi hukusanyika kwake kibarazani na kununua vitafunwa hivyo.

Mjomba wangu huwa ni mtu anayeswali hivyo saa kumi na moja alfajiri huamka na mara nyingi anapoelekea msikitini hupitia kwa yule mama muuza vitumbua na humpa maelekezo namna vitumbua vyake vipikwe ''huyu mjomba wangu huwa anapenda vitumbua vyake viwekwe hiriki na abdalasini'' kwahiyo yule mama huwa anatenga vitumbua kadhaa labda vitano ambayo huweka viungo hivyo kwaajili ya mjomba wangu,mara nyingi humpitia yule mama ili kumkumbusha tu asije kusahau na ukizingatia yule mama nyumba anapoishi ni jirani na kwetu.

Nakumbuka ilikuwa kipindi ambacho usiku ni mfupi hivyo jua huwahi kuchomoza,kama kawaida mjomba wangu huyo kaamka alfajiri aelekee kuswali msikitini na aliniamsha sababu ilitakiwa niwahi chuoni sababu ya Cat 2 kwahiyo nilimhimiza aniamshe mapema saa kumi na moja ili niweze kupata muda wa kuperuzi na kujiandaa,sasa mjomba wangu huyo akaniomba niende kwenye ile nyumba nimpe maelekezo yule mama ''siyo kila siku anapewa maelekezo sababu kuna baadhi ya siku huwa hanunui vitumbua sasa siku hiyo alikuwa ana uhitaji wa vitumbua''.

maelekezo huwa anampa mapema sababu mjomba huyu huwa anaenda kazini mapema hivyo huwa anapikiwa vitumbua mwanzo kabisa na mida kama ya saa kumi na mbili na nusu au saa moja kasoro huwa anavipata na kuchangamsha tumbo lake kabla ya kuelekea kazini

sasa nimeenda kwenye ile nyumba kuna mlango huwa upo wazi,ni kawaida kwa mida hiyo mlango huo kuwa wazi nikausukumiza nilicho shuhudia sikukiamini kabisa.Yule mama muuza vitumbua yupo uchi kanga ipo pembeni ananyunyuzia maji kwenye uchi wake kisha yale maji yanaingia kwenye beseni la vitumbua,ni kama mithili ya mtu anayetawadha...nilipigwa na butwaa na mshangao sasa wakati nageuza yule mama akastuka akaniona.Kufika nyumbani nikamsimulia mjomba nilichokiona .

Aliniuliza mara mbili mbili akidhani namtania ,kama ni kweli nikamuambia uhakika kwa macho yangu mawili nimemuona akifanya hivyo,kwa hasira mjomba alitaka kwenda kumvamia yule mama nikamtuliza lakini alienda kumchana laivu yule mama asubuhi yake.


Tokea hiyo siku huyo mjomba wangu yeye na vitumbua ni kama panya na paka wakati alikuwa mpenzi sana wa vitumbua,na mimi hapa tokea 2010 mpaka leo hii sijatia kitumbua mdomoni kwangu kila nikitaka kula navuta picha tukio la yule mama akinyunyuzia maji kwenye uchi wake kisha yale maji yanaingia kwenye beseni ya unga wa vitumbua.


yule mama kwa aibu aliondoka pale mtaani alihama kabisa.





View attachment 449927 View attachment 449929 View attachment 449927
 
Sio vitumbua tu, labda useme misosi yote ya gengen na kwenye migahawa huko.. Unaweza kununua andaz au muhogo kumbe yale yale.. Andaz limekandiwa utoko wa papuchi
 
Kwani vitumbua ndo tatizo au vitu vipikwavyo mtaani mbali na nyumbani kwenu.
Kilicho salama ni kile unachokipika mwenyewe tu.
 
Sasa una uhakika gani kuwa vyakula unavyokula havifanyiwi hayo uliyoyaona kwenye vitumbua
 
Kula ni kula tu! Watu kama wanakula hadi kule chini aaghh kitumbua nini bhana??
 
Duh

Basi haya ufanywa na wanaotenda hayo kwenye kila chakula kuvutia wateja haswa au mengine pia kama ya masharti anayopewa ya kitu alivhoomba kiwe kishetani.....ndio maisha yao wengi.

Na pia wale wapenda kufanya sherehe ya lazima vinywaji na vyakula kama nyama choma ya ng'ombe mzima au mbuzi

ila mara bila sababu, hao nao wengi wana masharti.

Ameenda kuendeleza kwingine...

Duniani bora ule unachopika kwako, la sivyo tembea na Mola na imani ya kuwa na nguvu juu ya haya mambo.
Mbona huyo mzuri
Mm nilishuhudia mama mmoja anakanda maandazi na maji ya chooni yenye funza mengine tumuachie Mungu anaetulinda kila siku


Hayo yote tisa nilisimuliwa na rafiki yng kutoka Iringa kuwa mama mmoja muuza samaki alikuwa anauza minofu ya nyama za watu kwa miaka mingi akichanganya na vipande vichache vya samaki mpaka alipokuja kuumbuliwa na mzee mmoja ambae nimtaalam alipomuuzia minofu hiyo

Mshana atakuwa anajua vizuri haya mambo ajitokeze kutufafanulia
 
Kuna vitu vitatu ambavyo siwezi kabisa kula yaani nikiviona nahisi kutapika:
Maandazi
Chapati
Vitumbua,
Kisa kuna siku nilimkuta mama mmoja wa mgahawani akikanda unga kwaajili ya Chapati, yaani duuu!! Nataka tena kutapika hapa, maana nimekumbuka
Acha ujinga malizia ilikuwaje??
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom