Ni mwaka gani ulitumia computer kwa mara ya kwanza?

Ni mwaka gani ulitumia computer kwa mara ya kwanza?

Mwaka 2006 Kwa Rafk Yanguuuu..... nlikua Nikitoka Shule 2naenda Kushindana Solitaire The Pia Kuna Program Nyngne ilikua Ina Function Kama Mavis Beacon [im Not sure Kama Ilikua Ni Mavis Beacon Yenyewe Au Inaendana Na Mavis beacon] Hapo Nlikua Najikuta Kama Nipo Ulaya.. sasa Need For speed Na Gta!!! started From The Bottom Kweliiiii
 
2002, nilikuwa nashinda nacheza super mario na dangerous dave, game zilikuwa ni 8bit. acha sasa hivi fifa13, nilitumia windows 95, wakati huo nilikuwa nna diskette zangu kadhaa za 1.4mb, ilikuwa poa sana. baada ya kumaliza shule nikapewa flash ya kwanza ilikuwa 256mb. ilikuwa muujiza kwangu, kutoka 1.4mb mpk 256mb, hapo nilikuwa nimeanza kutumia win2000

pc yangu ya kwanza nilimiliki 2006, nilipewa zawadi baada ya kuonekana napenda sana hicho kifaa.
 
2002, nilikuwa nashinda nacheza super mario na dangerous dave, game zilikuwa ni 8bit. acha sasa hivi fifa13, nilitumia windows 95, wakati huo nilikuwa nna diskette zangu kadhaa za 1.4mb, ilikuwa poa sana. baada ya kumaliza shule nikapewa flash ya kwanza ilikuwa 256mb. ilikuwa muujiza kwangu, kutoka 1.4mb mpk 256mb, hapo nilikuwa nimeanza kutumia win2000

pc yangu ya kwanza nilimiliki 2006, nilipewa zawadi baada ya kuonekana napenda sana hicho kifaa.

Dah Kweli Umenikimbiza Sanaa Ww Unamiliki Kwa Mara Ya kwanza Mm nna anza Kutumia kwa Mara Ya Kwanza..... ila Mm Super Mario Nmecheza Mda Kidogo Ila Ilikua Kwenye Console Zle Kama Za Supersonic Pia Nlikua Nikicheza Duckhunt na Olympic Zote Zlikua Kwenye Hyo Console
 
Dah Kweli Umenikimbiza Sanaa Ww Unamiliki Kwa Mara Ya kwanza Mm nna anza Kutumia kwa Mara Ya Kwanza..... ila Mm Super Mario Nmecheza Mda Kidogo Ila Ilikua Kwenye Console Zle Kama Za Supersonic Pia Nlikua Nikicheza Duckhunt na Olympic Zote Zlikua Kwenye Hyo Console

mjomba aliona napenda sana internet, akaamua anipe moja, yani hapo akawa kanifungulia ulimwengu mpya. maana nilikorokochoa pc yote, kisha nikaifunga upya, bila kugoogle.
 
mjomba aliona napenda sana internet, akaamua anipe moja, yani hapo akawa kanifungulia ulimwengu mpya. maana nilikorokochoa pc yote, kisha nikaifunga upya, bila kugoogle.

Mm Mpaka Leo Sjawah Fungua Laptop Maana Nahs zipo Mu Deadly sana So naweza kala hasara
 
Mm Mpaka Leo Sjawah Fungua Laptop Maana Nahs zipo Mu Deadly sana So naweza kala hasara

hapa nna laptop ni kadava yangu, kama una whatsapp nikutumie picha uone, nnaikorokochoa yote na kuirudishia, hii ni kwa ajili ya kujifunzia na nzima kabisaaa ila nimeisambaratisha kwa sasa hivi
 
Mimi nilianza kutumia computer mnamo mwaka 1999. PC hiyo ilikuwa ni laptop aina ya Compaq ambayo ilikuwa inarun Windows 98.
 
Dah kitambo kweli.....!!!
Mara ya kwanza kuijua computer na kutunia net ilikuwa 1996 wakati nipo darasa la 6 pale shule ya viziwi Buguruni Malapa ambapo tulikuwa na utaratibu wa kutembeleana na IST so nimeanza kujifunza kufungua email na kuchat pale IsT
 
Mimi nilianza kutumia computer mnamo mwaka 1999. PC hiyo ilikuwa ni laptop aina ya Compaq ambayo ilikuwa inarun Windows 98.

mie laptop nimeitumia baadae sana, nilikuwa natumia desktop tu. na nilikuwa nahisi desktop za wazungu hazioneshi windows kama zetu (nilijua zao zinadisplay tofauti na yetu sisi bado tuko nyuma kimaendeleo)
 
Back
Top Bottom