Hahahahah, no, sio sawa. Congo kiswahili kinaongelewa east tu, kule west hawakijui kabisa. Ila wakenya... duh!Hawa jamaa ni kama hawa wa Kenya ambao nao wanajua vizuri kiswahili
hata hapa Tanzania kuna maneno mengine kwa kabila fulani ni maneno
ya kawaida lkn utakuta kwa kabila lingine ni tusi.
Imana ndio Mungu sasa kule kwao!Fikiria mtu anaitwa ****lo huko RSA, sisi kwetu pia majina ya warundi na wanyarwanda huwa yanatutoa wazimu, utasikia mtu anaitwa habyarimana au Ndikumana. Mana kwetu ni va.gi.na
hata hapa Tanzania kuna maneno mengine kwa kabila fulani ni maneno
ya kawaida lkn utakuta kwa kabila lingine ni tusi.
ah haaa haaaa haaaaaaaa.................hiyo kubwa kulikoKuna mjapan mmoja alikuwa anaitwa Naitaka Kumamoto. Ilibidi apewe majina ya bandia ili yatumike kwa muda akiwa hapa nchini. Kule Japan kuna kitongoji/mtaa unaitwa Kumainata.
Ayaya! taratibu unatukana sasaKuna mjapan mmoja alikuwa anaitwa Naitaka Kumamoto. Ilibidi apewe majina ya bandia ili yatumike kwa muda akiwa hapa nchini. Kule Japan kuna kitongoji/mtaa unaitwa Kumainata.
Fikiria mtu anaitwa ****lo huko RSA, sisi kwetu pia majina ya warundi na wanyarwanda huwa yanatutoa wazimu, utasikia mtu anaitwa habyarimana au Ndikumana. Mana kwetu ni va.gi.na
Ni kweli mkuu, haya majina yanamambo kweli. Kilimanjaro kuna sehemu inaitwa "Ndungu". Sasa nenda Mbeya utaje hilo jina uone watu watakavyokukimbia!!!![
/QUOTE]
' Ndungu´' kwetu Undambani ni aina ya Samaki. lugha ndivyo ilivyo.