Ni mnyama gani huyu?

Ni mnyama gani huyu?

Na akikutana na mwanamke anapiga pushapu kwanza ndo mambo mengine yanaendelea.
Hii kweli ni hatari tupu
images%20(8).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
huwa tunamwita 'echikara' au likiwa kubwa 'likara'..
 
Mpaka Comment yangu namba 95 HAKUNA ALIYEPATIA jina la huyo Mnyama, mmelishana matango, Huyo siyo KICHECHE na wala Siyo Honey B.
Ngojja niiingie kwenye Kamusi ya Wanyama niwaletee jina lake huyu Mnyama huyo ambaye huonekana usiku tu, na Sifa yake nyingine ni Kujisaidia eneo moja hilo hilo hata kama anaishi Rozana na Choo kipo Kimboka lazima afuate kilipo eneo la choo chake alipopazoea. Hula wadudu wadogo wadogo
 
Mpaka Comment yangu namba 95 HAKUNA ALIYEPATIA jina la huyo Mnyama, mmelishana matango, Huyo siyo KICHECHE na wala Siyo Honey B.
Ngojja niiingie kwenye Kamusi ya Wanyama niwaletee jina lake huyu Mnyama huyo ambaye huonekana usiku tu, na Sifa yake nyingine ni Kujisaidia eneo moja hilo hilo hata kama anaishi Rozana na Choo kipo Kimboka lazima afuate kilipo eneo la choo chake alipopazoea. Hula wadudu wadogo wadogo
Fungo
 
Mpaka Comment yangu namba 95 HAKUNA ALIYEPATIA jina la huyo Mnyama, mmelishana matango, Huyo siyo KICHECHE na wala Siyo Honey B.
Ngojja niiingie kwenye Kamusi ya Wanyama niwaletee jina lake huyu Mnyama huyo ambaye huonekana usiku tu, na Sifa yake nyingine ni Kujisaidia eneo moja hilo hilo hata kama anaishi Rozana na Choo kipo Kimboka lazima afuate kilipo eneo la choo chake alipopazoea. Hula wadudu wadogo wadogo
Maelezo yako yanamaanisha huyo mnyana ni fungo! Lkn ukweli ni kuwa fungo ana mwili mkubwa na hana mkia mrefu kama huyo.

Huyo mnyama kwa Kisukuma tunaita "ISA"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyegere huyo. Kwetu kigoma tuna kula ukimkaanga Kwa nyanya na kitunguu wallah huli nyama ya ngombe tena
 
Back
Top Bottom