Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,792
Wakiitwa watu wenye Mbwa basi nawewe unaye
Bila shaka huyo Mbwa sio wa Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka huyo Mbwa sio wa Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila Shaka ni kicheche huyoHapo kafa mbwa kavunja vunja sana mbavu na uti wa mgongo
huyo atakuwa kicheche tu mla kuku yule mzee wa kazi bwana asali hapana kuanguka kwa mr dog kabisa. simba mwenyewe anasanda.Miguu na masikio kama sungura lakini mkia wake mrefu hawezi kua yeye.
Sitaki kabisa kuamini kua huyo ni mtemi honey badger ameangushwa kizembe na mbwa?
Ndio yeye hujakosea walaBila Shaka ni kicheche huyo
Aaah wewe, mbwa pale anachemka mzeeMiguu na masikio kama sungura lakini mkia wake mrefu hawezi kua yeye.
Sitaki kabisa kuamini kua huyo ni mtemi honey badger ameangushwa kizembe na mbwa?

Hapo kafa au ndo manyoya yake yalivyo?
Honey bedger anakimbia kama hataki
Anakula chochote anachokutana nacho
Anakula nyoka wote
Nyuki wakimuona wanamkimbia
Anachukua asali Kama kaitengeneza yeye
Akikutana na Kobe anakula mpaka Gamba lake
Ni mnyama anayeongoza kwa kutokua muoga porini
Hawezi kuuawa na mnyama yoyote
Huyo ndio Honey bedger mwenyewe a.k.a nyegere.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mbwa angekuwa mbabe bado kwa huyu jamaa angwkalishwa tu. Huyu bwana ngozi yake ni ngumu balaa, na ndo kinachomsaidia.Mnaosema huyo ni nyegere mna utaniiii..
Thubutuuuuuuuu....
Nyegere a.k.a honey badger umgalagaze kiasi hichoo?
Huyu ni kicheche...
View attachment 1456338
Angekua ni nyegere, Napendaka kumuita
Mr Die harder,
View attachment 1456340
Hio picha ya mtoa mada ingekua ya Maiti ya mbwa,
kama mbwa ni mbabe basi kujitahidi kwake angalau tungeona maiti mbili hapo.
huo mtego wake nuksi sana mkuu.Huyu ni kicheche, anakunya wadudu afu anategesha mknd u wake kuku akidonoa anambana matakoni then mbio!! Kuku anaibiwa bila kelele maana mdomo unakua umebanwa mknduni
Mbwa kuuwa kicheche mbona kawaida mkuu?Wakiitwa watu wenye Mbwa basi nawewe unaye
Bila shaka huyo Mbwa sio wa Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app

Inaweza kuwa kweli mdau huyu niliwahi kuona Makala moja ikimzungumzia Maisha yake asee nishida hata ukikutana naye inabidi umpishe mbali kabisa ni the most fearless animal.Hapo kwenye kula gamba la kobe umetunywesha chai
Haahaaha.. Hi ni kweli mkuu?Huyu ni kicheche, anakunya wadudu afu anategesha mknd u wake kuku akidonoa anambana matakoni then mbio!! Kuku anaibiwa bila kelele maana mdomo unakua umebanwa mknduni
Ulikuwa hujui? JF story nyingi ni chai tu za kupitisha siku ni kama kijiwe cha kahawa cha uswahiliniKwa hiyo jf ni jenge
Serious!! Kicheche anaweza kumaliza kuku woote especially wale ambao hawako bandani!!! Anachukua mmoja baada ya mwingine
Inaweza kuwa kweli mdau huyu niliwahi kuona Makala moja ikimzungumzia Maisha yake asee nishida hata ukikutana naye inabidi umpishe mbali kabisa ni the most fearless animal.
Akikutana na binadamu hasa wa kiume cha kwanza huwa ananyofoa sehemu nyetiInaweza kuwa kweli mdau huyu niliwahi kuona Makala moja ikimzungumzia Maisha yake asee nishida hata ukikutana naye inabidi umpishe mbali kabisa ni the most fearless animal.