Ni mnyama gani huyu?

Ni mnyama gani huyu?

Same gene

Jr
Siyo Nyegere! Nyegere ni huyu hapa na huwa ana uwezo wa kuwapiga hata Simba tano. Sidhani kama mbwa anaweza kumuua huyu!


hqdefault.jpg
 
Na honey badger ndio yukoje bro?
Honey bedger anakimbia kama hataki
Anakula chochote anachokutana nacho
Anakula nyoka wote
Nyuki wakimuona wanamkimbia
Anachukua asali Kama kaitengeneza yeye
Akikutana na Kobe anakula mpaka Gamba lake
Ni mnyama anayeongoza kwa kutokua muoga porini
Hawezi kuuawa na mnyama yoyote
Huyo ndio Honey bedger mwenyewe a.k.a nyegere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaosema huyo ni nyegere mna utaniiii..

Thubutuuuuuuuu....
Nyegere a.k.a honey badger umgalagaze kiasi hichoo?
Huyu ni kicheche...
Screenshot_20200522-070438.jpg

Angekua ni nyegere, Napendaka kumuita
Mr Die harder,
Screenshot_20200522-074214.jpg

Hio picha ya mtoa mada ingekua ya Maiti ya mbwa,
kama mbwa ni mbabe basi kujitahidi kwake angalau tungeona maiti mbili hapo.
 
Back
Top Bottom