Cute Cindy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 211
- 591
Ni mwaka mmoja nimekuwa kwenye hii biashara ya bodaboda, wiki 2 zilizopita baada ya kubadilisha tairi la mbele la toyo, leo bike yangu ya toyo imepiga shoti kwenye wiring.. sasa sijui ni dereva wa bodaboda anakula njama na fundi ili nitoe hela, halafu toyo yenyewe mwezi wa pili mwaka huu ndio imetimiza miaka 3 tu tangu inunuliwe, wiring elf 20 halafu hesabu elfu 30 kwa wiki kuna faida hapo kweli
Narekebisha hili tatizo, ikitokea tatizo lingine nauza bikesijui wameniloga, coz juzi nilianza kuuza skygo kwa mkataba, nikiuza hizi bike mbili nitabakiwaa na bike 1, sijui ndio kufilisika kunapoanzia..
Narekebisha hili tatizo, ikitokea tatizo lingine nauza bikesijui wameniloga, coz juzi nilianza kuuza skygo kwa mkataba, nikiuza hizi bike mbili nitabakiwaa na bike 1, sijui ndio kufilisika kunapoanzia..