Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,223
ss mkuu ushauri ni jambo muhimu na huyu sister bado mdogo
mdogo kwa kigezo kipi?
ss mkuu ushauri ni jambo muhimu na huyu sister bado mdogo
Kwanini unajiuliza kuwaambia wazee?? Au wewe ni sehemu ya tatizo- hiyo mimba ni yako mkuu?
ni dada yangu mtoto wa baba mdogo aliyekuja mjini kureseat necta ya form 4 ,alimaliza mwaka jana na kufeli ss kashika mimba tulizani kuwa ni malaria baba akanipa fedha nimpeleke akapime baada ya kupima hana malaria ni mimba ss ananiambia nimfichie siri naombeni ushauri wakuu
Sasa ushauri gani jinsi ya kuficha mimba huyo mwomba ushauri naye chizi kweli?ni dada yangu mtoto wa baba mdogo aliyekuja mjini kureseat necta ya form 4 ,alimaliza mwaka jana na kufeli ss kashika mimba tulizani kuwa ni malaria baba akanipa fedha nimpeleke akapime baada ya kupima hana malaria ni mimba ss ananiambia nimfichie siri naombeni ushauri wakuu
Sasa ushauri gani jinsi ya kuficha mimba huyo mwomba ushauri naye chizi kweli?
Ww sema ukweli tu maaana yatakutokea puani
Kwani ww tatizo lako nn ss hpo?
woga wako unaonyesha kwa % fulani unahusika na hiyo mimba
Kwa kumsaidia huyo dadaako waambie wazazi mapema, kuliko kukaa kimya.