Wallahi warembo wameisha kama na huyu nae ni mremboMwanamke huyu mpole,mwenye maadili ya Kisukuma na mfanyabiashara ambae ni mmiliki wa Nyumbani Pub iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ni mlimbwende wa haja na ukiiutana nae utafurahia Kwa jinsi alivyo mcheshi si mwingine Bali sister Miriam.
Ni kipenzi cha watu wote kuanzia watu wazima hadI vijana wafanyabishara wa matunda hadi machinga bila kuwasahau bodaboda
Ndio mgombea udiwani mtarajiwa Kwa mwaka 2020 au ukitokea uchaguzi kabla ya hapo ktk kata maarufu ya Nyahanga wilayani Kahama.
Ajajichagua yeye Bali maoni ya watu yamempendekeza awe mgombea,
Tunawaomba watu wa chama mjiridhishe nae tukizingatia hatupendezi mtu kwa rushwa wala maelekezo ya mtu Bali mtu muwajibikaji
Instagram:kaukwaju
Kwenye ghorofa jipya linatazamana na lake oil jirani na stand ya mabasi ya mikoani. humo humo kwenye jengoNyumbani Pub iko mitaa gani namikamuungishe weekend moja
Mitaa yangu ni Golden Valley, Rock Point, Royal Fast Food, Pine ridge
Niongezee Nyumbani Pub iliko nikachangie pato la Taifa
Kwani simba mpaka anzaa nao ni mama huruma kawaida kugegedwa Kwa mwanamkeAnaonekana ni Mama huruma
Kama godoro au mkeka! javimkatai anayelilalia hata awe na uvundo kiasi gani.Kwani simba mpaka anzaa nao ni mama huruma kawaida kugegedwa Kwa mwanamke