Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,396
Huyu ni wewe au shoga akoMwanamke huyu mpole,mwenye maadili ya Kisukuma na mfanyabiashara ambae ni mmiliki wa Nyumbani Pub iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ni mlimbwende wa haja na ukiiutana nae utafurahia Kwa jinsi alivyo mcheshi si mwingine Bali sister Miriam.
Ni kipenzi cha watu wote kuanzia watu wazima hadI vijana wafanyabishara wa matunda hadi machinga bila kuwasahau bodaboda
Ndio mgombea udiwani mtarajiwa Kwa mwaka 2020 au ukitokea uchaguzi kabla ya hapo ktk kata maarufu ya Nyahanga wilayani Kahama.
Ajajichagua yeye Bali maoni ya watu yamempendekeza awe mgombea,
Tunawaomba watu wa chama mjiridhishe nae tukizingatia hatupendezi mtu kwa rushwa wala maelekezo ya mtu Bali mtu muwajibikaji
Instagram:kaukwaju