Ni miongoni mwa wanawake warembo wa Kisukuma na mheshimiwa Diwani mtarajiwa mkoani Shinyanga

Mwanamke huyu mpole,mwenye maadili ya Kisukuma na mfanyabiashara ambae ni mmiliki wa Nyumbani Pub iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ni mlimbwende wa haja na ukiiutana nae utafurahia Kwa jinsi alivyo mcheshi si mwingine Bali sister Miriam.

Ni kipenzi cha watu wote kuanzia watu wazima hadI vijana wafanyabishara wa matunda hadi machinga bila kuwasahau bodaboda

Ndio mgombea udiwani mtarajiwa Kwa mwaka 2020 au ukitokea uchaguzi kabla ya hapo ktk kata maarufu ya Nyahanga wilayani Kahama.

Ajajichagua yeye Bali maoni ya watu yamempendekeza awe mgombea,

Tunawaomba watu wa chama mjiridhishe nae tukizingatia hatupendezi mtu kwa rushwa wala maelekezo ya mtu Bali mtu muwajibikaji

Instagram:kaukwaju
Huyu ni wewe au shoga ako
 
Yani mkoani ukitongoza manzi wa mtu huyo jamaa yake hua anapaniki mbaya sana, kuna mchuchu mmoja nilimsoundisha jamaa alipaniki yani aliwatumia watu kama 5 tofauti hivi wanitafute mpaka nikawa na wauliza hivi huko mikoani hakuna wanawake...
Ahahahha Lymber tuachieee wanaume watu tunawapendaa sio kama nyie wa dar
 
Mwanamke huyu mpole,mwenye maadili ya Kisukuma na mfanyabiashara ambae ni mmiliki wa Nyumbani Pub iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ni mlimbwende wa haja na ukiiutana nae utafurahia Kwa jinsi alivyo mcheshi si mwingine Bali sister Miriam.

Ni kipenzi cha watu wote kuanzia watu wazima hadI vijana wafanyabishara wa matunda hadi machinga bila kuwasahau bodaboda

Ndio mgombea udiwani mtarajiwa Kwa mwaka 2020 au ukitokea uchaguzi kabla ya hapo ktk kata maarufu ya Nyahanga wilayani Kahama.

Ajajichagua yeye Bali maoni ya watu yamempendekeza awe mgombea,

Tunawaomba watu wa chama mjiridhishe nae tukizingatia hatupendezi mtu kwa rushwa wala maelekezo ya mtu Bali mtu muwajibikaji

Instagram:kaukwaju
Dah kama huyu ni mzuri. Kaka hujatembea.. nakwambia tena hujatembea. Mm mwenyewe wa mkoani lakin huyu bado sana yaani badoo.
Kuna wanawake wazuri nchi hiii huyu hafikii robo
 
Yani mkoani ukitongoza manzi wa mtu huyo jamaa yake hua anapaniki mbaya sana, kuna mchuchu mmoja nilimsoundisha jamaa alipaniki yani aliwatumia watu kama 5 tofauti hivi wanitafute mpaka nikawa na wauliza hivi huko mikoani hakuna wanawake...
Kuna mikoa na mikoa. Si mikoa yote ni washamba .. hawa watakuwa wa huko simiyu.
 
Kuna mikoa na mikoa. Si mikoa yote ni washamba .. hawa watakuwa wa huko simiyu.
Huyu jamaa amesema ni Kahama, binafsi napafahamu Kahama sasa mji kama ule kumpoint mdada kama huyu daah mleta mada anafeli sana inabidi adondoshwe Kariakoo au Makumbusho akashangae warembo
 
Mwanamke huyu mpole,mwenye maadili ya Kisukuma na mfanyabiashara ambae ni mmiliki wa Nyumbani Pub iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ni mlimbwende wa haja na ukiiutana nae utafurahia Kwa jinsi alivyo mcheshi si mwingine Bali sister Miriam.

Ni kipenzi cha watu wote kuanzia watu wazima hadI vijana wafanyabishara wa matunda hadi machinga bila kuwasahau bodaboda

Ndio mgombea udiwani mtarajiwa Kwa mwaka 2020 au ukitokea uchaguzi kabla ya hapo ktk kata maarufu ya Nyahanga wilayani Kahama.

Ajajichagua yeye Bali maoni ya watu yamempendekeza awe mgombea,

Tunawaomba watu wa chama mjiridhishe nae tukizingatia hatupendezi mtu kwa rushwa wala maelekezo ya mtu Bali mtu muwajibikaji

Instagram:kaukwaju
Ndugu yangu pole sana, wanaume wa DSM wanapenda kuona. mfumo wa wowowo kwanza, sura baadae !!!
 
Back
Top Bottom