Ni miongoni mwa wanawake warembo wa Kisukuma na mheshimiwa Diwani mtarajiwa mkoani Shinyanga

Yani mkoani ukitongoza manzi wa mtu huyo jamaa yake hua anapaniki mbaya sana, kuna mchuchu mmoja nilimsoundisha jamaa alipaniki yani aliwatumia watu kama 5 tofauti hivi wanitafute mpaka nikawa na wauliza hivi huko mikoani hakuna wanawake...
Hahahahahaaa
 
Mimi sikucheki nataka nijue ni wapi maana kila mjanja ana mjanja wake iweje mdada wa mjini ukamatike kwa huyo jamaa
Hahahaha nizimika na mauno ya kingoni wewe Lyamber halaf mimi sio wa mjini wa Mwanza huku

halaf nawe ni mwanaume wa dar?
 
Msameheni bure jamani. Mleta mada ni msukuma na wasukuma ugonjwa wao kwa kwa wanawake unajulikana. Mwanamke akishakuwa mweupe tu basi huyo tayari ni mrembo na wako tayari kulipa mahali hata ng'ombe 100 ili waoe mwanamke mweupe Duhh... Mwee....
 
Mleta mada ana bifu na huyu sasa au huyu dada ndo aliyepost maana ukizungumzia wazuri huyu dada haruhusiwi hata kugusa gidamu za warembo wa makumbusho pale
 
Mwanamke huyu mpole,mwenye maadili ya Kisukuma na mfanyabiashara ambae ni mmiliki wa Nyumbani Pub iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ni mlimbwende wa haja na ukiiutana nae utafurahia Kwa jinsi alivyo mcheshi si mwingine Bali sister Miriam.

Ni kipenzi cha watu wote kuanzia watu wazima hadI vijana wafanyabishara wa matunda hadi machinga bila kuwasahau bodaboda

Ndio mgombea udiwani mtarajiwa Kwa mwaka 2020 au ukitokea uchaguzi kabla ya hapo ktk kata maarufu ya Nyahanga wilayani Kahama.

Ajajichagua yeye Bali maoni ya watu yamempendekeza awe mgombea,

Tunawaomba watu wa chama mjiridhishe nae tukizingatia hatupendezi mtu kwa rushwa wala maelekezo ya mtu Bali mtu muwajibikaji

Instagram:kaukwaju
Nyumbani Pub iko mitaa gani namikamuungishe weekend moja


Mitaa yangu ni Golden Valley, Rock Point, Royal Fast Food, Pine ridge


Niongezee Nyumbani Pub iliko nikachangie pato la Taifa
 
Mwanamke huyu mpole,mwenye maadili ya Kisukuma na mfanyabiashara ambae ni mmiliki wa Nyumbani Pub iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ni mlimbwende wa haja na ukiiutana nae utafurahia Kwa jinsi alivyo mcheshi si mwingine Bali sister Miriam.

Ni kipenzi cha watu wote kuanzia watu wazima hadI vijana wafanyabishara wa matunda hadi machinga bila kuwasahau bodaboda

Ndio mgombea udiwani mtarajiwa Kwa mwaka 2020 au ukitokea uchaguzi kabla ya hapo ktk kata maarufu ya Nyahanga wilayani Kahama.

Ajajichagua yeye Bali maoni ya watu yamempendekeza awe mgombea,

Tunawaomba watu wa chama mjiridhishe nae tukizingatia hatupendezi mtu kwa rushwa wala maelekezo ya mtu Bali mtu muwajibikaji

Instagram:kaukwaju
Nikiona mkorogo tuu nazima, uzuri hana na nywele za maiti ndiyo kaharibu
 
Back
Top Bottom