Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,449
- 9,738
Nyakati zinakimbia sana!
Miaka 10 iliyopita wakati wa kampeni za kumuweka madarakani John Pombe Magufuli, hayati Benjamin Mkapa alitupa tusi lenye kejeli ndani yake la kutuita malofa.
Sijui nini kilimsibu mzee wa lupaso mpaka apayuke neno lile gumu kwa Watanzania.
Anyway yeye na Magufuli waendelee kupumzikaa kwa amani huko walipo!!
Miaka 10 iliyopita wakati wa kampeni za kumuweka madarakani John Pombe Magufuli, hayati Benjamin Mkapa alitupa tusi lenye kejeli ndani yake la kutuita malofa.
Sijui nini kilimsibu mzee wa lupaso mpaka apayuke neno lile gumu kwa Watanzania.
Anyway yeye na Magufuli waendelee kupumzikaa kwa amani huko walipo!!