Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,309
- 1,145
Wote!Kama Rais ssh angekuwa anapokea malalamiko na ushauri wetu na kuvofanyia kazi haraka na vilivyo, ni mawaziri gani ungetaka na kushauri watumbuliwe haraka?
Nianze na 'Dr' Mwigulu Nchemba
Naomba uweke wako hapa, maybe Rais anaweza kusoma au kufikishiwa unumbe.