Manchid
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 217
- 445
Kama ambavyo kichwa Cha habari kinaeleza, Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji toka singida singidani Nina deal na Hawa kuku na hakika nmeona ni wastahimilivu sana wa magonjwa endapo wataanza kupewa chanjo na mazingatio mengine toka wakiwa wadogo.
Sasa nataka kununua mashine kwaajili ya kuboresha na kuongeza kipato changu, hivyo nahitaji wajuvi wa Mambo mnijuze je mashine ipi ni nzuri zaidi Kati ya hizi zinazotengenezwa sido I mean made in Tanzania na hizi za kisasa toka nje.
Na je Bei rafiki ya nashine yenye uwezo wa kuchukua mayai around 300 mpk 400.
Mahali nilipo upatikanaji wa mayai ya kienyeji unaridhisha sana,je ni sahihi kununua mayai kwa wafugaji wengine na kuyatotolesha? Ama mpaka nitengeneze mzunguko wangu binafsi utakaokidhi mahitaji yangu?
Mwisho napenda kuwakaribisha ndugu zangu kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kwani wanalipa na Wana faida sana pale wanapozingatiwa na kutunzwa vizuri.
Alamsiki
Sasa nataka kununua mashine kwaajili ya kuboresha na kuongeza kipato changu, hivyo nahitaji wajuvi wa Mambo mnijuze je mashine ipi ni nzuri zaidi Kati ya hizi zinazotengenezwa sido I mean made in Tanzania na hizi za kisasa toka nje.
Na je Bei rafiki ya nashine yenye uwezo wa kuchukua mayai around 300 mpk 400.
Mahali nilipo upatikanaji wa mayai ya kienyeji unaridhisha sana,je ni sahihi kununua mayai kwa wafugaji wengine na kuyatotolesha? Ama mpaka nitengeneze mzunguko wangu binafsi utakaokidhi mahitaji yangu?
Mwisho napenda kuwakaribisha ndugu zangu kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kwani wanalipa na Wana faida sana pale wanapozingatiwa na kutunzwa vizuri.
Alamsiki