Ni marufuku kukojoa hapa, faini ni Tsh. 50,000/-

Ncha Kali

JF-Expert Member
Sep 19, 2019
14,506
27,002
Ndugu zangu!

Ni kawaida kukutana na tangazo kama hilo mitaani. Wengi hukazia kwa kuita AMRI, ONYO au ILANI sijui.

Sasa basi, huyu mwanangu mdogo kaniuliza: hii marufuku ni ya nini ikiwa kuna FAINI na mtu angeweza kuchagua?

Sehemu nyingi (kama sio zote) nilizowahi kuona, faini ni shilingi 50,000/- tu. Hii imeidhinishwa kitaifa? Kwa kuzingatia nini?

Hebu tumsaidie huyu mtoto.

Ncha Kali.
 
Ndugu zangu!

Ni kawaida kukutana na tangazo kama hilo mitaani. Wengi hukazia kwa kuita AMRI, ONYO au ILANI sijui.

Sasa basi, huyu mwanangu mdogo kaniuliza: hii marufuku ni ya nini ikiwa kuna FAINI na mtu angeweza kuchagua?

Sehemu nyingi (kama sio zote) nilizowahi kuona, faini ni shilingi 50,000/- tu. Hii imeidhinishwa kitaifa? Kwa kuzingatia nini?

Hebu tumsaidie huyu mtoto.

Ncha Kali.
Kuna mahala waliandika
USIKOJOE HAPA

mwana akaja akafuta akaandika KOJOA HAPA CHINI
 
Uyo mtoto hajui elf hamsini anachojua ni mkojo tu, akiwa mkubwa ataelewa zaidi, yani kojo tu ulipie hamsini? Akili ya kawaida huwezi.
 
Back
Top Bottom