Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 692
Naamini watu wengi humu wana imani zao na wanaamini katika uwepo wa Mungu
Embu tujiulize na kujihoji ni mara ngapi tumetenga muda kuombea wake zetu watarajiwa na kwa wanawake wanaume wenu watarajiwa?Biblia inasema apataye mke amepata kibali sasa kama mke wako umempata kwa macho ya nyama kweli itakua kibali au laana!
Vijana wengi tunatumia macho ya nje kupata mke njia hii sio sahihi hata kidogo lazima tumwombe Mungu kama tnaitaji ndoa zenye mafanikio.una mke na hujawahi kumwombea ulinzi wa Mungu hata siku moja,hapo utaishia kuibiwa na ndoa kugeuka ndoano.Ifike wakati tumshirikishe Mungu katika mahusiano yetu.
Sam Love*mcatalunya*
Embu tujiulize na kujihoji ni mara ngapi tumetenga muda kuombea wake zetu watarajiwa na kwa wanawake wanaume wenu watarajiwa?Biblia inasema apataye mke amepata kibali sasa kama mke wako umempata kwa macho ya nyama kweli itakua kibali au laana!
Vijana wengi tunatumia macho ya nje kupata mke njia hii sio sahihi hata kidogo lazima tumwombe Mungu kama tnaitaji ndoa zenye mafanikio.una mke na hujawahi kumwombea ulinzi wa Mungu hata siku moja,hapo utaishia kuibiwa na ndoa kugeuka ndoano.Ifike wakati tumshirikishe Mungu katika mahusiano yetu.
Sam Love*mcatalunya*