Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,305
- 10,582
siku hizi kula lami kuanzia njia panda ya ipinda mpaka matema beach ni full kuteleza. No vumbi
Muda sasa Nimeondoka kabla ya kuwekwa lami, nitarudi kupacheki
siku hizi kula lami kuanzia njia panda ya ipinda mpaka matema beach ni full kuteleza. No vumbi
Wilaya za kilimo hizo,unakuta mpk round about imepandwa michicha,matembele,kuna kashamba darasa hapohapo kakiaina.
Sio wilaya za bata hizo.
matemaHabari JF,
Niko Mbeya Kyela mpakani mwa Tanzania na Malawi.
Nimekuja kikazi ila ningependa kutalii kidogo.
Wenyeji au mliowahi fika hii wilaya hebu nitajieni maeneo ya starehe.
#viwanja vikali
#sehemu zinazovutia kwa kutalii
#mengineyo
Kwa kiwanja cha kutulia huku ukipiga ulabu basi sehemu sahihi ni 47 yaani we ulizia boda akupeleke FOURTY SEVEN kuna garden taamu saana
Kwasasa papo poa sanaLast time nimeenda huko nilifika pale, nilikuta pamepoa sana..labda sababu ilikuwa corona