Ni maandamano au ni mapinduzi?

Ni maandamano au ni mapinduzi?

Mimi nilifikiri namna bora na sahihi ya kukabiliana na maandamano ni kufahamu madai yao na kuyafanyia kazi hilo la nguvu ndogo and nguvu kubwa halitatui kilichowafanya waandamane.

Mh Raisi aagize wakuu wote wa mikoa (kama ni kweli) wapokee hayo maandamano na kuchukua malalamiko yao na kuyapeleka serikali (Kwa Mh. Raisi) ili yale ya kweli yafanyiwe kazi

mmetangaza mapinduzi endeleeni nayo suluhu ya nini???
 
yapewe jina lolote ilimradi yawe effective enough kumtoa joka pangoni!!
 
Hahahahahahaaaaaaa. Hapo mmeeleweka. Siku hiyo wanaume wa Kazi watakuwa na zana zote halali. subirini mkufilie mbali wakati huyo anayewahamasisha ananyonya koni huko majuu

wacha waenbde kwao sio ndugu zetu tunaishi nao kila siku kitaa! sijuhi kmaa wanaweza fanya hivyo unavyofikiria.
 
26April2018, majibu yameanza patikana Sirro kakutana na Watangulizi wake.Asanteni Watanzania wenye nia njema pazeni sauti.Wajinga wachache tuwaelimishe.
 
Nasikia vikosi vyote nchini wameshanza kutest mitambo. Target ya kwanza ni Mbowe, Zitto na genge lao. Lazima wajue kuna vyombo vya dola
mbona jeshi halihitaji maelezo mengi na utaenda kumuuliza nani ss wengine tunapenda kuangalia picha za kutisha kuona mtu kamwagwa ubongo
 
Wao wanahamasishana mapinduzi yaani revolution kama Yale ya Arab spring.Hivyo wanatakiwa kukabliwa kwa nguvu zote tena za uhakika ni vizuri mabomu ya kupasulia makalio yawekwe tayari kumpasua kila ngedere atakayeleta za kuleta bila huruma hata chembe.Huruma huwezi hurumia ngedere utakuta kala mahindi yote.
 
Gadafi alitisha hivyo hivyo mwisho wa siku alifia kwenye mtaro wa mavi
Aliruhusu uraia wa nchi mbili mi diaspora isiyotakia nchi amani kama mange ikaingia Libya na kuanza kusumbua Ndani ya Libya Tanzania tumegoma katakata duo citizenship Hao akina kimambi wanajua siku wakikanyaga tanzania ndio mwisho wao.Hiyo ni diaspora yenye duo citizenship jeuri yao mwisho mitandaoni
 
Upinzan WA Tanzania bla bla nyingi wamepoteza dira Sasa hv Kla mtu anaongea analoweza Kuongea Kama Ufipa kila mtu kawa msemaji
 
Aliruhusu uraia wa nchi mbili mi diaspora isiyotakia nchi amani kama mange ikaingia Libya na kuanza kusumbua Ndani ya Libya Tanzania tumegoma katakata duo citizenship Hao akina kimambi wanajua siku wakikanyaga tanzania ndio mwisho wao.Hiyo ni diaspora yenye duo citizenship jeuri yao mwisho mitandaoni
Ndo maana wanasisitiza Katiba Mpya ili hayo mambo yao ya ushoga na uraia pacha yaruhusiwe
 
Eti wanaume was kazi!!! Kama kungekuwa na wanaume wa kazi Tanzania wao ndiyo wangeongoza hiyo demonstration!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimefuatilia baadhi ya mitandao ya kijamii hususan Instagram na Telegram kuhusu haya makundi ya watu wanaotamani kuuangusha utawala wa Rais Magufuli. Kwa kiswahili wanasema kuwa hayo ni maandamano ya Amani. Ila kwa Kiingereza wanatamka Tanzania Revolution.

Kwa uelewa wangu, Maandamano tafsiri yake kwa Kiingereza ni Demonstration au Protests. Na Revolution maana yake kwa kiswahili ni Mapinduzi. Kwa uelewa wangu finyu, busara huweza kutumika katika kudeal na maandamano ikiwa ni pamoja na matumizi kiduchu ya nguvu. Ila Mapinduzi hapo lazima ujidhatiti kukabiliana nayo. Hapo silaha za moto na nzito hutumika na ni haki ya vyombo vya dola kutumia nguvu zote ili kulinda himaya dhidi ya maadui wa ndani na nje.

Kingine, Maandamano hudhibitiwa na Jeshi la Polisi. Ila Mapinduzi hapo wanaume wa kazi, JWTZ huingia mzigoni. Hapo silaha zinazotumika ni za moto tu. Hawajafundishwa kutumia TEAR GAS hao.

Kwa hiyo, ni vema wale wanaotamani kuona utawala wa Rais Magufuli unaangushwa wakatafakari upya ni nini hasa wanataka kufanya siku hiyo na nini madhara yake. Ni vema wakaweka wazi je wanataka kuandamana ama wanataka kufanya mapinduzi? Maandamano YES ila MAPINDUZI ni BIG NO. Watu wasije kufumuliwa vichwa wakifanya mapinduzi then wakaanza kulalamika kuwa jeshi la polisi na JWTZ wametumia nguvu ya ziada.
Siku hizi unaakili zamani ulikuwa unakera sana naona pepo la lumumba limekutoka
 
Hakuna maandamano ya amani yenye lengo la Revolution. Nakataa. Polisi na JWTZ msipumbazike na hii hadaa ya wanyonya koni. Jiandaeni kisawasawa kutumia silaha zote
Eti kutumia silaha zote, yaani maandamano tu zitumike silaha zote.
Na silaha zipi zitatumika endapo watu watakuwa na silaha na wao?
Kumbe wewe ni mjinga hivyo.
 
Back
Top Bottom