Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 310
- 451
Ni basi gani zuri kwasasa nikiwa na maana sio uzuri tu wa muonekano wa nje na ndani bali pia ambalo linaweza nifikisha mapema ukilinganisha na mabasi ya kampuni nyingine.
Mana kuna yale mabasi ambayo ukitoka hapa Dar saa 12 asubuhi Mwanza unafika kuanzia saa saba usiku sasa haya mabasi hapana kwakweli.
Kwa ambao mmesafiri hivi karibuni naomba msaada tafadhali wa kujuzwa kuhusu hilo swali langu hapo juu.
Mana kuna yale mabasi ambayo ukitoka hapa Dar saa 12 asubuhi Mwanza unafika kuanzia saa saba usiku sasa haya mabasi hapana kwakweli.
Kwa ambao mmesafiri hivi karibuni naomba msaada tafadhali wa kujuzwa kuhusu hilo swali langu hapo juu.