mwananchit
JF-Expert Member
- Oct 13, 2008
- 242
- 296
hivi hao wazee wanapatikanaje maana hatujawahi kusikia likitolewa tangazo popote la kuwataarifu wazee juu ya mkutano wao na JK.
hivi hao wazee wanapatikanaje maana hatujawahi kusikia likitolewa tangazo popote la kuwataarifu wazee juu ya mkutano wao na JK.
Mjomba vijana wa ccm unawajua au unawasikia ?
Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia Mh. Rais akihutubia taifa kupitia wazee. Najiuliza ni lini hasa atahutubia vijana? Au kanuni haziruhusu jambo hili?
Hawa?
au hawa...
Thubutu!
Chagua mwenyewe.