Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,763
- 4,587
Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia Mh. Rais akihutubia taifa kupitia wazee. Najiuliza ni lini hasa atahutubia vijana? Au kanuni haziruhusu jambo hili?
Vijana hawadanganyiki
Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia Mh. Rais akihutubia taifa kupitia wazee. Najiuliza ni lini hasa atahutubia vijana? Au kanuni haziruhusu jambo hili?
Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia Mh. Rais akihutubia taifa kupitia wazee. Najiuliza ni lini hasa atahutubia vijana? Au kanuni haziruhusu jambo hili?
vijana hatuna muda wa kumsikiliza mtu dhaifu ambayo hana hoja mkuu kwanza tunaweza kumpiga vibao kwenye huu mkutano.Anaogopa watamzomea, Wazee huwa wanauchapa usingizi huku wakisubiri amalize ili wakauchangamkie ubwabwa na pia kupokea bahasha za kaki.
kama hao wazee wa ccm kila wanachoambiwa wanakubali hata wakidanganya wanaamini ni ukweli.Hahahaaaaa inamaana wengine wanadanganyika?
paulo makonda ampiga WARIOBA
Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia Mh. Rais akihutubia taifa kupitia wazee. Najiuliza ni lini hasa atahutubia vijana? Au kanuni haziruhusu jambo hili?
Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia Mh. Rais akihutubia taifa kupitia wazee. Najiuliza ni lini hasa atahutubia vijana? Au kanuni haziruhusu jambo hili?