Ni lini CDF Mkunda aliwahi kukemea Utekaji? Mwenye clip aiweka hapa Tuone

Ni lini CDF Mkunda aliwahi kukemea Utekaji? Mwenye clip aiweka hapa Tuone

baz kaiza

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
11,479
Reaction score
12,092
Mkunda alisema vijana wetu ni wahalifu. Vijana wanaopamba kuasi mfumo kandamizi dhidi ya ufisadi na utekaji.

Tangia utekaji umeshamili nchini, ni lini Mkuu wa Jeshi tena la Wananchi JWTZ aliwahi kukemea utekaji na kuonyesha kuchukizwa na vitendo vya utekaji dhidi ya wananchi. Kama kuna mwenye clips aziweke hapa.
Tunataka kujua hili jeshi kweli bado la wananchi au kimekua kikundi cha kulinda watu flani tujue kama ikiwezekana wabadilishe jina kutoka jeshi la wananchi na kua jeshi la kikundi flani tujue.

Kama mkuu wa Majeshi hajawahi kukemea utekaji kibali cha kuita vijana wetu wahalifu alikitoa wapi kiufupi Jeshi nalo linaitaji REFORMS Wananchi wakikosa Imani na jeshi lao Nyerere akua Mjinga kubakiza jeshi kua la Wananchi Mkunda ulishidwa kutoa kauli kwamba wa sikilizeni wananchi hiyo ilitosha hiyo kauli tu
 
Mgunda alisema vijana wetu ni wahalifu vijana wanaopamba kuasi mfumo kandamizi dhidi ya ufisadi na utekaji. Tangia utekaji umeshamili nchini ni lini mkuu wa majeshi tena ya wananchi JWTZ aliwahi kukemea utekaji na kuonyesha kuchukizwa na vitendo vya utekaji dhidi ya wananchi kama kuna mwenye clips aziweke hapa. Tunataka kujua hili jeshi kweli bado la wananchi au kimekua kikundi cha kulinda watu flani tujue kama ikiwezekana wabadilishe jina kutoka jeshi la wananchi na kua jeshi la kikundi flani tujue.
Mkunda hana historia ya kuwa na akili, ni chawa kama baba level
 
Mgunda alisema vijana wetu ni wahalifu vijana wanaopamba kuasi mfumo kandamizi dhidi ya ufisadi na utekaji. Tangia utekaji umeshamili nchini ni lini mkuu wa majeshi tena ya wananchi JWTZ aliwahi kukemea utekaji na kuonyesha kuchukizwa na vitendo vya utekaji dhidi ya wananchi kama kuna mwenye clips aziweke hapa. Tunataka kujua hili jeshi kweli bado la wananchi au kimekua kikundi cha kulinda watu flani tujue kama ikiwezekana wabadilishe jina kutoka jeshi la wananchi na kua jeshi la kikundi flani tujue.
Anaitwa Jenerali Jacob Mkunda. Na siyo Mgunda.

Kiufupi nimegundua yeye na Lucas Mwashambwa, wanatofautiana majina tu na cheo.
 
Mkunda alisema vijana wetu ni wahalifu. Vijana wanaopamba kuasi mfumo kandamizi dhidi ya ufisadi na utekaji.

Tangia utekaji umeshamili nchini, ni lini Mkuu wa Jeshi tena la Wananchi JWTZ aliwahi kukemea utekaji na kuonyesha kuchukizwa na vitendo vya utekaji dhidi ya wananchi. Kama kuna mwenye clips aziweke hapa.
Tunataka kujua hili jeshi kweli bado la wananchi au kimekua kikundi cha kulinda watu flani tujue kama ikiwezekana wabadilishe jina kutoka jeshi la wananchi na kua jeshi la kikundi flani tujue.

Kama mkuu wa Majeshi hajawahi kukemea utekaji kibali cha kuita vijana wetu wahalifu alikitoa wapi kiufupi Jeshi nalo linaitaji REFORMS
Kwani ujui no CDF MKUND#
 
Vipi Butiku keshatoa neno?

Kwa Capt Tesha alikurupuka kujibu kwa wakati.

Hao wazee ni wanafiki sijajua watu huwa wanawapaje hizo sifa wasizostahili
 
Mkunda alisema vijana wetu ni wahalifu. Vijana wanaopamba kuasi mfumo kandamizi dhidi ya ufisadi na utekaji.

Tangia utekaji umeshamili nchini, ni lini Mkuu wa Jeshi tena la Wananchi JWTZ aliwahi kukemea utekaji na kuonyesha kuchukizwa na vitendo vya utekaji dhidi ya wananchi. Kama kuna mwenye clips aziweke hapa.
Tunataka kujua hili jeshi kweli bado la wananchi au kimekua kikundi cha kulinda watu flani tujue kama ikiwezekana wabadilishe jina kutoka jeshi la wananchi na kua jeshi la kikundi flani tujue.

Kama mkuu wa Majeshi hajawahi kukemea utekaji kibali cha kuita vijana wetu wahalifu alikitoa wapi kiufupi Jeshi nalo linaitaji REFORMS
Ni vizuri muwe mnajielimisha juu ya majukumu ya hivi vikosi vyenu vya ulinzi na mipaka yao badala ya kutanguliza hisia kwenye kuvijadili.
 
Naandika huku naogopa sana Afande JJ Mkunda, amekosa uzalendo ametii tumbo lake,
We were trained from TMA, to be professional killer not to kill our Patriot brethrens but our enemy.
Wale waliopigwa risasi za moto ni Watanzania wenzetu, 😭😭sio Wacongo Wala wa Burundi,au wa Kenya, na hawakua na silaha. Ameruhusu/amekubali Polisi force/ service pamoja na baadhi ya Amphibian wa marine kuua Watanzania wenzetu.
Halitokua Jeshi la Ulinzi la wananchi tena
 
Ni vizuri muwe mnajielimisha juu ya majukumu ya hivi vikosi vyenu vya ulinzi na mipaka yao badala ya kutanguliza hisia kwenye kuvijadili.
Kukemea mauaji na Utekaji haina mjadala kusema Sijui mkuu wa Majeshi anaweza kusema kama mtu binafsi pia kuiondoa ukuu wa JWTZ huyo ni mtu anaweza kukemea kama mtu baki sio CDF sasa mkuu wa Majeshi tena ya wananchi kama hawezi kukemea utekaji wa wananchi wake ana kazi gani anafanya?
 
Mkunda alisema vijana wetu ni wahalifu. Vijana wanaopamba kuasi mfumo kandamizi dhidi ya ufisadi na utekaji.

Tangia utekaji umeshamili nchini, ni lini Mkuu wa Jeshi tena la Wananchi JWTZ aliwahi kukemea utekaji na kuonyesha kuchukizwa na vitendo vya utekaji dhidi ya wananchi. Kama kuna mwenye clips aziweke hapa.
Tunataka kujua hili jeshi kweli bado la wananchi au kimekua kikundi cha kulinda watu flani tujue kama ikiwezekana wabadilishe jina kutoka jeshi la wananchi na kua jeshi la kikundi flani tujue.

Kama mkuu wa Majeshi hajawahi kukemea utekaji kibali cha kuita vijana wetu wahalifu alikitoa wapi kiufupi Jeshi nalo linaitaji REF

Mkunda alisema vijana wetu ni wahalifu. Vijana wanaopamba kuasi mfumo kandamizi dhidi ya ufisadi na utekaji.

Tangia utekaji umeshamili nchini, ni lini Mkuu wa Jeshi tena la Wananchi JWTZ aliwahi kukemea utekaji na kuonyesha kuchukizwa na vitendo vya utekaji dhidi ya wananchi. Kama kuna mwenye clips aziweke hapa.
Tunataka kujua hili jeshi kweli bado la wananchi au kimekua kikundi cha kulinda watu flani tujue kama ikiwezekana wabadilishe jina kutoka jeshi la wananchi na kua jeshi la kikundi flani tujue.

Kama mkuu wa Majeshi hajawahi kukemea utekaji kibali cha kuita vijana wetu wahalifu alikitoa wapi kiufupi Jeshi nalo linaitaji REFORMS
Unataka MKUNDA akemee utekaji?
 
Mkunda alisema vijana wetu ni wahalifu. Vijana wanaopamba kuasi mfumo kandamizi dhidi ya ufisadi na utekaji.

Tangia utekaji umeshamili nchini, ni lini Mkuu wa Jeshi tena la Wananchi JWTZ aliwahi kukemea utekaji na kuonyesha kuchukizwa na vitendo vya utekaji dhidi ya wananchi. Kama kuna mwenye clips aziweke hapa.
Tunataka kujua hili jeshi kweli bado la wananchi au kimekua kikundi cha kulinda watu flani tujue kama ikiwezekana wabadilishe jina kutoka jeshi la wananchi na kua jeshi la kikundi flani tujue.

Kama mkuu wa Majeshi hajawahi kukemea utekaji kibali cha kuita vijana wetu wahalifu alikitoa wapi kiufupi Jeshi nalo linaitaji REFORMS
sio mtueleze kwanza jeshi lilosema litawalinda ni lipi? na mlitoa wapi taarifa hizo?
 
Back
Top Bottom