Kwenu wana jf..kuna hili swala la kukatwa jando sasa kuna wengine wameamua kuwaacha watoto zao wa kiume mpaka wanaoa unakuta mkewe anamwambia inabidi ukate...sasa basi yawezekana ni utamaduni wa wazungu leo hii tumerudi kwenu je ni lazima kila mwanaume akatwe uume yaani jando..na muda gani mzuri wa kukata ukubwani utotoni???
Alamsiki
Govi kazi yake tusaidie
Waulizeni wanaume wa kizulu huko SA kwanini sasa wameamua kukata magovi yao! wanaisha na maambukizi ya VVU! Ukija kwangu na ganda lako nitakutoa baruu wewe!!!!!
disadvantages
- ni kama mikono ya sweta la shule ya arusha school
- inatunza uchafu (utoko) hivyo hata blow-job ni mandanda
- kichwa hakikomai hivyo ukimwi nje-nje
- sura yake ni soo (kama uso wa kenge)
- halufu-halufu
- ukimwi nje nje