Ni lazima kampuni/taasisi kutoa allowances kwa waajiriwa?

Ni lazima kwa vile zinaongeza morale ...

Allowance hizo kama;
1.Transport and communication allowance
2.security allowance
3.Housing allowance
4.Risk allowance
5.Festival allowance (kipind cha sikukuu)
6.Meal and food allowance
7.Dis -abled allowance ( kwa walemavu au waliopara ulemavu kazini?
8. Tv service package allowance
9.Per diem ( kwa ajili ya safari)
10.Disturbance allowance (usumbufu hadwa katika kuhamishwa)
11.Motivational allowance (hii inatolewa kwa watu wanaofanya katika mazingira magumu haswa waliopo mbali na makao makuu labda vijijini?


Zipo kibao kuna nyingine unapta offer ya kusomeshewa watoto wako.
 
Ni lazima kwa vile zinaongeza morale ...

Allowance hizo kama;
1.Transport and communication allowance
2.security allowance
3.Housing allowance
4.Risk allowance
5.Festival allowance (kipind cha sikukuu)
6.Meal and food allowance
7.Dis -abled allowance ( kwa walemavu au waliopara ulemavu kazini?
8. Tv service package allowance
9.Per diem ( kwa ajili ya safari)
10.Disturbance allowance (usumbufu hadwa katika kuhamishwa)
11.Motivational allowance (hii inatolewa kwa watu wanaofanya katika mazingira magumu haswa waliopo mbali na makao makuu labda vijijini?


Zipo kibao kuna nyingine unapta offer ya kusomeshewa watoto wako.
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu
 
Allowances Inategemea na sheria za hiyo kampuni/taasisi na taratibu zake japo kuna zile za muhimu kama per diem hiyo ni haki ya mfanyakazi once akienda kufanya kazi nje ya kituo chake cha kazi lazima apewe.

Kiasi mara nyingi inategemea na cheo au taasisi ila sio kiwango kimoja kwa wafanyakazi wote mfano airtime allowance ya CEO haiwezi kuwa sawa na ya receptionist.
 
Allowance ni nzuri kwa mfanyakazi zina boost morale na kuongeza ufanisi, kiwango hutegemeana na kiwango cha uzalishaji wa kampuni, inaweza kuwa bidhaa au huduma
Ahsante mkuu! Ila ningependa kujua kama unazipambania upewe wakati wa contract negotiation ama huwa fixed na constant kulingana na kampuni?
 
Ahsante mkuu! Ila ningependa kujua kama unazipambania upewe wakati wa contract negotiation ama huwa fixed na constant kulingana na kampuni?
Wengine wanaweka kuanzia kwenye tangazo la kazi n wengine during salary negotiation.
Hauzipambanii maana zinakua tayari kwenye taratibu/sheria za ofisi husika.
 
Wengine wanaweka kuanzia kwenye tangazo la kazi n wengine during salary negotiation.
Hauzipambanii maana zinakua tayari kwenye taratibu/sheria za ofisi husika.
Nimekupata vizuri mkuu, ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom