Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,888
Nikiwa palepale kwenye mkutano wengine walishangalia na wengine walishangaa na kusema kwamba kumbe ndiyo maana tuliandikiwa mails za kuonyowa na kuambiwa you must behave mbele ya Rais kama utakuja kwenye mkutano wake .Je Es na wengine ambao kama mlipata mails hizo maana mimi sikuipata .Je watu walionywa in advance ku behave ? Ina maana kuacha maswali mazito na walipo kaidigi kijana akaitwa na shahidi ni ES baada ya mkutano na JK .Nisaidieni maana nilisikia wengi wakati wa vinywaji wanasema haya .