Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Mapenzi kwa sasa ni utundu na kujituma sio mambo yale ya zamani kama waja leo wenda leo sijui...kesho
Tembea uone dada yangu!
Hatuisifii mvua bure imetunyea!
Mapenzi kwa sasa ni utundu na kujituma sio mambo yale ya zamani kama waja leo wenda leo sijui...kesho
My point exactly..
Mmmmmh!I stand to be corrected; bado wanashika hatamu; hawa wengine wamechanganya mambo na uzungu mwingi; lakini wale wa Tanga wamebakisha ule uasilia; wacha kabisa ile kitu waweza uza mji!
Mi hapa naomba nisichangie kwa sababu ya conflict of interest