Jamani nauliza mimi ni mwenyeji na mzawa wa Tanga tangu nasoma(boarding) huko bara nasifiwa sana eti mimi mtu wa Tanga lazima nitakuwa mwingi wa mahaba(labda na uchawi pia japo sipendi kutaja sida hii).
Kwa miongo kadhaa hadi sasa nafanya kazi, mtaani na kazini mimi hulazimishwa "hulka" hizi, hali ambayo imepelekea kupata mitihani mingi toka kwa wenzangu wa jinsia ya pili(wanawake) hivi ni kweli Tanga ni full mahaba? bona sielewi mie hebu nisaidieni watu wa Mikanjuni.
Usagara, Kwanjeka na Ngamiani Kisosora na Mabawa Chuda na Msambweni Mabovu na Majani makubwa.... No.. Majani mapana. Niambieni jamani. Mwanatanga napata shida mie.
Kwa miongo kadhaa hadi sasa nafanya kazi, mtaani na kazini mimi hulazimishwa "hulka" hizi, hali ambayo imepelekea kupata mitihani mingi toka kwa wenzangu wa jinsia ya pili(wanawake) hivi ni kweli Tanga ni full mahaba? bona sielewi mie hebu nisaidieni watu wa Mikanjuni.
Usagara, Kwanjeka na Ngamiani Kisosora na Mabawa Chuda na Msambweni Mabovu na Majani makubwa.... No.. Majani mapana. Niambieni jamani. Mwanatanga napata shida mie.