Salamu kwenu wakuu, tumshukuru Mungu kwa kutufikisha mwisho wa mwaka, nasi tupige mahesabu yetu, tumefanikiwa kwa kiasi gani?
Swali langu, nataka kufungua Salary Account huko Stanbic Bank, kuna mtu ameniambia kuwa Stanbic kwa Salary account kila mwezi wanakata Tshs 12,000 ikiwa ni maintenance costs. Ila kuna staff wenzangu wana account huko wanasema siyo kweli, wengine wanasema ni kweli, hivyo nimeshindwa kujua ukweli haswa. Kama ni kweli, naona 12,000 ni nyingi sana for maintenance costs.
Naomba wenye ufahamu juu ya hili wananifahamishe, nataka kufanya maamuzi. Je, ni kweli kuna makato ya 12,000? Na je, vipi kuhusu makato mengine (ATM....)?
Asanteni.
Swali langu, nataka kufungua Salary Account huko Stanbic Bank, kuna mtu ameniambia kuwa Stanbic kwa Salary account kila mwezi wanakata Tshs 12,000 ikiwa ni maintenance costs. Ila kuna staff wenzangu wana account huko wanasema siyo kweli, wengine wanasema ni kweli, hivyo nimeshindwa kujua ukweli haswa. Kama ni kweli, naona 12,000 ni nyingi sana for maintenance costs.
Naomba wenye ufahamu juu ya hili wananifahamishe, nataka kufanya maamuzi. Je, ni kweli kuna makato ya 12,000? Na je, vipi kuhusu makato mengine (ATM....)?
Asanteni.